Nakubaliana na wewe. Nina Nokia E5-00, sijajutia kuwa nayo na huu ni mwaka wa pili iko bomba sana. Chaji inadumu muda mrefu sana nikilinganisha na Galaxy ambayo nimeweka laini isiyo busy sana, lakini haidumu na chaji. Wanaoponda simu hio hapo juu hawajaijua tu.
Kwa vigezo ilivyonavyo hii simu ni madhubuti, japo OS yake ni Symbian.
Kweli kabisa hizo simu ni bora na imara sana
.
.
Symbian huwezi ku enjoy maisha usipo i hack....
.
.
mkuu nna nokia e52 nataka kuhack nfanyaje?
Huwa ni simu nzuri sina. Smartphone nakuwa nayo ili kujichanganya na washua but mambo ya mawasilian nagonga hii.
Kama hii
.
.
.
Sijaelewa bado unacho maanisha
.
Kama lengo lako ni ku zi proud symbian :thumb up:
.
Ngosha mbona kimya kaka? Ingia PM nimetuma ujumbe.tupo kaka kwani kuna lipi?hata mkeo wakisema wafananishe na wake za wengine watakushangaa kwa nini unaishi nae,kipenda roho mkuu
.Mkuu hata
symbian sijui ji kitu gani. Usinicheke. Mimi simu natumia kwa mawasiliano na internet zaid. Yaani features nyingine kutumia naweza sema zero.
mkuu nna nokia e52 nataka kuhack nfanyaje?
Mkuu like button siioni hapa, lakini unastahili like kwa kumtia Moyo member mwenzetu. Kama kungekuwa na watu kama wewe Watu wasingeona aibu kuomba msaada forum hii..
Usijari kiongozi
.
Kupitia red utajua vitu vingi sana ....
Kuliko anae kaa kimya
.
Kupitia blue utasaidiwa sana
.
Kuliko anae jifanya anajua
.
Mkuu miaka ya nyuma kidogo nimewahi kuwa Nokia 5800, kwa kuwa yenyewe ni FP2 nilitumia Symantech Norton Hack tool. Ni Norton version ya Symbian version ambayo ukiinstall kuna hack tool iliyohifadhiwa kwwenye Quarantine ya Norton AV ukirestore hiyo hack tool itakusaidia kuinstall app ya Rompatcher. Kwa hiyo download app iitwayo Helloox ambayo ina Rompatcher. Ukishainstall hii HelloOx ukiilaunch kuna uptions mbili ya Hack my phone na Unhack my phone. Baada ya kuinstall ROMPatcher tafuta patches. Kuna patches takriban 185. Kazi kwako, hii njia ni applicable kwa Symbian FP1 na FP2. Kwa msaada zaidi tembelea Youtube
.
Usijari kiongozi
.
Kupitia red utajua vitu vingi sana ....
Kuliko anae kaa kimya
.
Kupitia blue utasaidiwa sana
.
Kuliko anae jifanya anajua
.
Mkuu AmbroseDreamer hakika naona kama nyota tu hapa. Inabidi nisome IT ndiyo nijuwa haya materminology au kitu gani?? Hakina nime admire sana. Hongera sana japo siju what you meant here.
.
Hapana kaka mambo hayo haya itaji mtu kusomea IT natumaini wengi sana humu ndani hatuja soma IT na tuna knowledge za kujitosheleza.....
.
Vingine tuna elimika kupitia mtaani/ google / humu humu ndani nakadharika.....
.
Mkuu AmbroseDreamer hakika naona kama nyota tu hapa. Inabidi nisome IT ndiyo nijuwa haya materminology au kitu gani?? Hakina nime admire sana. Hongera sana japo siju what you meant here.
hii simu mwenyenayo safi nimpe 200k