Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,958
- 134,040
Naombeni kujua bei za bidhaa muhimu kama mkate,sukari,mchele,unga,panadol nk,huko Zimbabwe kwa rais Mugabe.Inasemekana bei ni kubwa sana kutokana pesa kushukusha thamani kutokana na vikwazo vya Wazungu.