Ndugu Mteja;tunakutaarifu kuwa bei ya majisafi imepanda toka Sh 1,098 hadi sh 1,663 kwa lita 1,000 pia bei majitaka imepanda toka sh.275 hadi sh.386 kwa lita 1,000 kuanzia Dec.2015 maelezo piga(0800110064 au 0222194800)
Note
Maji ni uhai tutafika kweli?
Note
Maji ni uhai tutafika kweli?