- Thread starter
- #21
Toka zako hapa.., unataka huduma bora wakati mbahili wa kuchangia, kama unaona vipi nenda ruvu ukachote na ndoo
Uwezo wako wa kufikiri ndio umeiashia hapo. Hivyo hutaelewa maana yake
Toka zako hapa.., unataka huduma bora wakati mbahili wa kuchangia, kama unaona vipi nenda ruvu ukachote na ndoo
Suala la kukosa maji ya Dawasco mtaani kwako sio zuio la sisi kulalamikia bei kupandishwa.Acha kulalamika, mimi nanunua dumu la lita 20 kwa sh. 500 huku mtaani.
Jipu halutumbuliwi na jipu1 cubic meter = 1000 ltrs.
203 cubic meters = 203,000 ltrs.
Ukifanya hesabu za haraka kwa Mega SIMTANK say ya Lita 20,000 ni sawa na SIMTANKs 10.
DAWASCO wanatisha na hesabu zao.
Hatukatai kupanda kwa bei mpaka 1663, lakini usahihi/uhakiki huu wa hizi hesabu nani anapaswa kuwajibishwa?
Jipu hili linasubiri kutumbuliwa.
KWETU TUNANUNUA MAJI LITA 1000 KWA THS 12,000.humu jf kumejaa watu kazi yao kulalamika tu....kweli lita 1000 kwa tzs 1663 mtu analalamika?!
Hivi watu wengine wana matatizo gani na herufi 'h'? Awa badala ya hawa, uwa badala ya huwa, wanaitaji badala ya wanahitaji. What is wrong? Ina maana walimu wao hawakuwafundisha sawasawa au hawajawahi kuingia darasani? Usije na hoja dhaifu ya 'mother tongue effect' tafadhali.Awa jamaaa nashindwa kuwaelewa hata mimi. Mwezi huu wameniletea bili ya maji nimetuma 19 Cubic Meters. Nyumbani tupo watu wanne. Kusema Ukweli wanaitaji kutumbuliwa kabisa. Maana uwa kwa mwezi natumiaga litre 3000. Ambayo ni sawa na 4989 +service charges 1400 ambayo ni 6,389
Lugha ya kiswahili inaota mbawa kiongozi. Kuna makosa kibao katika uandishi na matamshi. H, R, L zimekuwa mwiba kwa walio wengi.Hivi watu wengine wana matatizo gani na herufi 'h'? Awa badala ya hawa, uwa badala ya huwa, wanaitaji badala ya wanahitaji. What is wrong? Ina maana walimu wao hawakuwafundisha sawasawa au hawajawahi kuingia darasani? Usije na hoja dhaifu ya 'mother tongue effect' tafadhali.