Wakenya wamepata good news kidogo baada ya Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kutangaza kushuka kwa bei ya mafuta kuanzia April 16 hadi May 14, 2026.
Kulingana na taarifa, bei ya Super Petrol imeshuka kwa KSh 9.37 per litre na Diesel kwa KSh 10.21 per litre ndani ya Nairobi. Hii imechangiwa na serikali kupunguza VAT kutoka 13% hadi 8% kupitia National Treasury.
Lakini twist iko hapa
Wakati petrol na diesel zimeshuka, kerosene haijabadilika kitu imeacha wengi wakijiuliza kama hii move inalenga nani hasa, considering kerosene hutumiwa sana na low-income households.
Kwa ground, wananchi wana mixed reactions:
Wengine wanasema “finally, afadhali kidogo kwa mfuko”
Wengine wanasema hii ni temporary relief before elections politics kick in
Swali kubwa
Hii ni real economic relief ama ni serikali trying to calm wananchi?Na mbona kerosene imeachwa nje?
Kulingana na taarifa, bei ya Super Petrol imeshuka kwa KSh 9.37 per litre na Diesel kwa KSh 10.21 per litre ndani ya Nairobi. Hii imechangiwa na serikali kupunguza VAT kutoka 13% hadi 8% kupitia National Treasury.
Lakini twist iko hapa
Wakati petrol na diesel zimeshuka, kerosene haijabadilika kitu imeacha wengi wakijiuliza kama hii move inalenga nani hasa, considering kerosene hutumiwa sana na low-income households.
Kwa ground, wananchi wana mixed reactions:
Wengine wanasema “finally, afadhali kidogo kwa mfuko”
Wengine wanasema hii ni temporary relief before elections politics kick in
Swali kubwa
Hii ni real economic relief ama ni serikali trying to calm wananchi?Na mbona kerosene imeachwa nje?