Jamani wadau samahani sana nilikuwa offline kidogo lakini ukweli ni kwamba mimi mwenyewe ni mtumiaji wa mafuta na jana bei ilikuwa ndo hiyo (6000/litre) kwa petrol lkn baada ya kufuatilia kwenye vituo vingine leo bei hiyo imepungua hadi 3000 Mungu akipenda kesho mtapata picha wadau nawasilisha.