Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,509
- 4,819
Meli zinazokuja huku Uswahilini hazipiti Suez.
Kwa mfano kutoka Salalah mpaka Dar ni kuteleza tu.
Meli zinazokuja huku Uswahilini hazipiti Suez.
Kwa mfano kutoka Salalah mpaka Dar ni kuteleza tu.
Vita vinaweza kuvuruga utaratibu wa kupita meli za mafuta mfereji wa suez.
Nenda kanunue mafuta vaticanLakini Saudi Arabia na OPEC wanajipandishia tu bei za mafuta kwa visingizio mbalimbali ili wapate faida hawana huruma hata kidogo.
Nitaendaje wakati mimi niko Tanzania?Nenda kanunue mafuta vatican
CCM ina visima vya Mafuta?safi sana, ndiyo maendeleo yenyewe hayo
CCM mbele kwa mbele