bei ya mabati za araf

bei ya mabati za araf

Mkwanga

Senior Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
146
Reaction score
20
jamani naomba kujua bei ya bati za simba za araf geji 28 kwa kiwandani zauzwaje kwa jumla na wanauza kuanzia ngapi....?
 
mkuu jaribu kuwa makini kwenye issue zinazohusu brands na specs .... hizo bati ni za ALAF (Aluminium Africa) .... na siyo araf

Asante kaka nashukuru sana kwa ushaur wako
 
kwanini usiende kiwandani kwao?...au wewe haupo hapa dsm? mie najua bei ila zinaweza zisiwe current..jambo la maana ni kupata latest price.
 
Chapa Simba ni nzuri sana zina mchanganyiko wa Alminium na Zink, ni Imara mara ya mwisho hapa Arusha ilikuwa Tzs.18,000/= ya mita tatu.
 
Kama una roof plan nenda nayo kiwandani utapata exact cost na wanaweza hata kukukatiakama paa lako ni la kimitindo

ROOF01.jpg
 
jamani naomba kujua bei ya bati za simba za araf geji 28 kwa kiwandani zauzwaje kwa jumla na wanauza kuanzia ngapi....?

Kuna aina geji 28 zipo nyingi kwa majina yetu ya mtaani ni kama hapo chini
- Bati za kawaida (zilizozoeleka tangu enzi)
- Bati za kawaida ila zinakuwa zina rangi toka kiwandani
- Bati za migongo mikubwa
- Bati zile zinazofanana kama vigae
Sasa wewe unataka aina gani ya bati kati ya hizo hapo juu ili uweze kusaidiwa
 
Kuna aina geji 28 zipo nyingi kwa majina yetu ya mtaani ni kama hapo chini
- Bati za kawaida (zilizozoeleka tangu enzi)
- Bati za kawaida ila zinakuwa zina rangi toka kiwandani
- Bati za migongo mikubwa
- Bati zile zinazofanana kama vigae
Sasa wewe unataka aina gani ya bati kati ya hizo hapo juu ili uweze kusaidiwa

mkubwa kwa bati za kawaida za rangi ni kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom