bigest
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 340
- 166
kama nlivyoeleza mwaka jana mwenyewe kwa macho nimewaona wakulima mtwara wanafanya kufuru kwa kuwanunulia mbuzi soda na kuwawekea kwenye chombo na kuwapa wanywe, sasa kufuru kama hizi nahsi zinaweza kufanya mbaka bei ikawa na mkanganyiko.
Wakulima Sasa bei ndio hiyo msifanye tena kama mwaka jana. Kuchezea pesa kwa kuwanywesha soda mbuzi.
Wakulima Sasa bei ndio hiyo msifanye tena kama mwaka jana. Kuchezea pesa kwa kuwanywesha soda mbuzi.