Bei ya gesi ya kupikia majumbani yapanda

Bei ya gesi ya kupikia majumbani yapanda

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,891
Kwa msg nilionayo

oryx gesi wamepandisha bei kama ifuatavyo

Kg 6 kununua 17"000 kuuza 20"000
Kg 15 kununua 42"000 kuuza 47"000
sijaelewa lengo la kuchezesha watu akili hivi ninii

Ni hivi majuzi bei zilikuwa 48"000/2000
Wakapunguza zikauzwa 18"000/45000

Leo tena mnapandisha, kwanini msiamue kabisa kubaki huko huko watu wazoee bei kuliko kuwafanya matondo?

Mwisho poleni watumjaji wenzangu kazi ndio imeanza fungeni mikanda.
 
Upandewamihani ntawajuza kesho
 
Subiri itakujaaa
 
kwaupande wangu mi muuzaji inanipa changa moto san maan mteja akuelewi anaona me ndo nimepandisha bei
63d98b27dfdc773bd8c811aa328d58ae.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tupatie hiyo Elimu adimu, tunapata tabu kweli
 
Hivi ile gesi ya Mtwara bado haijaanza kuchimbwa au lile bomba bado halijakamilika
 
Back
Top Bottom