Ssa hivi serikali iko kwenye road licence, income tax, insurance nafikiri bado kuangalia mustakabali wa mafuta kushuka bei. Ni awamu kwa awamu ngazi kwa ngazi. Don't you know that our Government is a government of precedent. Ufisadi kwanza then mafuta baadae. Hata huzima moto baada ya nyumba kuungua yote na hivyo kupoteza hata mafuta ya gari ya fire brigade
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.