Bei ya dhahabu sasa yavuka $ 1,100 - Kikwete anakwenda jamaika kutafuta ....?

Mwafrika

JF-Expert Member
Nov 20, 2006
5,490
226
Gold keeps on surging, hits new high of $1,118

By SARA LEPRO, AP Business Writer Sara Lepro, Ap Business Writer – Wed Nov 11, 1:19 pm ET


NEW YORK – The price of gold surged to a fresh high Wednesday as the dollar fell to a 15-month low.
Gold futures for December delivery jumped to as high as $1,119.10 an ounce on the New York Mercantile Exchange in morning trading, then slipped back to $1,114.20, up $11.70 from Tuesday's close.
Commodities including gold have been rising as the dollar has dropped. Gold's latest advance came as the dollar fell after Federal Reserve officials reiterated that the central bank will keep interest rates low for an extended period to support the economic recovery.

Source - yahoo kutoka AP

http://news.yahoo.com/s/ap/20091111/ap_on_bi_ge/us_gold_prices

Badala ya kutumia vyema rasilimali zilizopo (kama migodi mikubwa mitatu ya dhahabu nchini na mingine kibao midogo midogo), vasco da gama yeye anataka kwenda jamaica.
 
MwaAfrika:

Tanzania haitakiwi kutumia migodi ya dhahabu au madini yoyote kama penacea ya matatizo yake.

Wachumi wana kitu kinachoitwa economic cycles. Hivyo basi kuhusiana na bei ya dhahabu, watanzania ni lazima wachambue ni kitu gani kinachofanya dhahabu kupanda.

Factor moja ya kupanda dhahabu ni kushuka kwa thamani ya dollar kiMarekani. Kuchuka huku kunawafanya watu wanao-invest katika masuala ya pesa au kuweka akiba kutumia gold.

Hivyo basi kupanda kwa bei ya dhahabu ni kitu cha muda tu. Kwani dollar itakapoaanza kupanda basi kuna uwezekano mkubwa kwa dhahabu kushuka bei.

Cha muhimu ni kuishauri serikali kutoanza miradi mikubwa mikubwa kwa kutegemea dhahabu. Kwani bei itakaposhuka, itashindwa kumalizia miradi hiyo.

Wako

ZaKenda
 
Zakumi,
Kwa kuwa sisi ni 3rd producer wa dhahabu kwa nini na sisi tusihodhi dhahabu kama walivyofanya Wamarekani? Mimi si mchumi kwa hiyo naomba tuisheni.
 
Zakumi,
Kwa kuwa sisi ni 3rd producer wa dhahabu kwa nini na sisi tusihodhi dhahabu kama walivyofanya Wamarekani? Mimi si mchumi kwa hiyo naomba tuisheni.

Kuhodhi dhahabu ni wazo zuri. Lakini je unafanya hivyo kwa sababu gani au kwa sababu waMarekani wanafanya hivyo?

WaMarekani wanahodhi vitu vingi: vikiwemo vyakula, mafuta na vitu ambavyo ni muhimu kiusalama na kimaendeleo.

Hivyo watu binafsi na serikali zinaweza kuhodhi dhahabu kwani katika kipindi hiki bei ya dhahabu iko juu watu au serikali ingeweza kufanya mengi na dhahabu kuliko na US dollar.

Hivyo kwa kutumia economic cycles unaweza kuona kuwa bei ya dhahabu inapopanda basi thamani ya dollar inakuwa chini. Na thamani ya dollar inapopanda bei ya dhahabu inashuka. Na kwa kutumia mfano huu unaweza kuwa na mechanism ya kuhodhi dhahabu, lakini unatakiwa kuwa makini sana kuelewa mwanzo na mwisho wa mizunguko.
 
Zakumi,
Kwa kuwa sisi ni 3rd producer wa dhahabu kwa nini na sisi tusihodhi dhahabu kama walivyofanya Wamarekani? Mimi si mchumi kwa hiyo naomba tuisheni.

By the way, kwani tunayo dhahabu sisi???? Ya kwetu kabla haijachimbwa ikichimbwa tuuu sio yetu ya wenyewe. Reserve yetu ya dhahabu nadhani tunainunua. Naomba mwongozo wenu wanazuoni waliobobea kwenye masuala ya uchumi.
 
MwaAfrika:

Wachumi wana kitu kinachoitwa economic cycles. Hivyo basi kuhusiana na bei ya dhahabu, watanzania ni lazima wachambue ni kitu gani kinachofanya dhahabu kupanda.

Labda tu kwa kuongezea, bei ya soko "huria" siku zote hutegemea demand and supply, na kwa dhahabu ni hivyo hivyo. Mojawapo ya vitu vinavyo influence biashara sana sana demand ya dhahabu ni thamani ya sarafu mbalimbali hususani zile ambazo zinatumika na benki kuu pamoja na bodi za sarafu mbalimbali kuweka akiba za nchi zao.

Unavyoongelea thamani ya dollar kuanguka ni sawa kabisa na hii ni moja tu ya currencies zenyewe ingawa ndio yenye uzito mkubwa. Lakini ukiangalia utaona pia ni volatility inayoonyeshwa na thamani ya sarafu nyingi ambayo inatoa msukumo mkubwa zaidi kwa benki kuu na wadau wa masoko kukimbilia dhahabu. Thamani ya Euro imeongezeka na it being more or less a basket currency has been relatively stable, but why has it not caught on as a reserve currency? Angalia hali mbaya ya uchumi kwa EU member states na uncertain future prospects zake. Besides EU wenyewe hawataki iongezeke thamani maana ina erode competitiveness katika external trade.

Sababu nyingine kubwa ya kupanda kwa bei ya dhahabu ni kwamba katika masoko ya mitaji na bidhaa, bei ya natural tradeables kama mafuta pamoja na metals zingine kama Aluminium, Nickel etc. bado iko chini ya desired price na hivyo haziyield sufficient returns kwa wawekezaji. Hii inamaanisha ya kwamba wafanyabiashara wanalazimika kununua ile kitu ambayo bei inalipa.

You are right unaposema kwamba its an economic cycle. Agents wanazidi kununua tu na pale wakapoona bei imepanda vya kutosha wataanza kuuza dhahabu zao na ndipo bei itakapokuwa depressed unless the gold cartels interfere with the supply side. Keep an eye out for the People's Bank of China.
 
Zakumi,
Kwa kuwa sisi ni 3rd producer wa dhahabu kwa nini na sisi tusihodhi dhahabu kama walivyofanya Wamarekani? Mimi si mchumi kwa hiyo naomba tuisheni.

Jasusi!
Kubadilisha au kuboresha mikataba mibovu ya madini ambapo Tanzania inapata what CCM ****** call mrahaba wa 3% ambacho hata kiasi wanachochimba hakuna anayekijua and the stupid Mkapa and Mramba walimteua Auditor akahakiki alipwe 1.9% and CCM boasts of having a stable and peaceful country na Vasco Da Gama anatamba kwamba he is the only person to meet Obama and Bush na huwa wanaongea nini? au ushoga!!!

Kama kubadilisha kwa decree tuchukue 50% like they do it in Botwana ameshindwa anaendelea kuunda tume za kipuuzi kuchunguza what is just like day and night na kuendelea kuchezewa shere na akina Masha.Chenge, Rostam Aziz,Karamagi and many other CCM bastards who have high stakes kwenye madini actually we need a peoples revolution kwani kajeshi ketu kamewekwa mfukoni na Mafisadi
 
Hope hii inafanya barric Gold more profitable and hope tunawavuna tax,royalty and fees in percentage,lakini hawa mafia sitashangaa wakisema wamepata hasara ili wasilipe kitu maana accounts wata spin mpaka incompetent serikali yetu itaona giza tuu,kama hotels tuu kama Holiday inn na Sheraton wanaweza kutuchezea game wasilipe tax miaka nenda rudi kwa kutumia loophole ndogo tuu unategemea nini kutoka kwa hawa mafia wenye cartels dunia nzima na wanaijua serikali yetu ilivyo corrupt and incompetent kuliko wanavyojijua wenyewe...hawa wakilipa kodi wamependa tuu
 
MwaAfrika:

Tanzania haitakiwi kutumia migodi ya dhahabu au madini yoyote kama penacea ya matatizo yake.

Kweli kabisa. Ninarudi kusoma nilichoandika na nikikuta nimeandika kuwa Tanzania inabidi inabidi kutumia madini kama penacea ya matatizo yake, nitajipeleka mwenyewe mirembe.

Wachumi wana kitu kinachoitwa economic cycles. Hivyo basi kuhusiana na bei ya dhahabu, watanzania ni lazima wachambue ni kitu gani kinachofanya dhahabu kupanda.

Mkuu wangu Zakumi,

Yaani badala ya kutumia mwanya huu ambapo circle imetupeleka juu na kupata pesa kama walivyofanya waarabu miaka miwili iliyopita wakati oil iko juu, sisi watanzania tuanze kukaa chini na kujiuliza nini kimepeleka dhahabu juu? Na tukishajua ni nini then what, tuandike vitabu au ndio tuanze kutake advantage ya hiyo bei?

Factor moja ya kupanda dhahabu ni kushuka kwa thamani ya dollar kiMarekani. Kuchuka huku kunawafanya watu wanao-invest katika masuala ya pesa au kuweka akiba kutumia gold.

Hivyo basi kupanda kwa bei ya dhahabu ni kitu cha muda tu. Kwani dollar itakapoaanza kupanda basi kuna uwezekano mkubwa kwa dhahabu kushuka bei.

Hata kama kikiwa kitu cha muda, Tanzania na nchi zote zinazozalisha dhahabu zinaweza kufanya a big time killing. Kumbuka kuwa dhahabu imekuwa inachezea dola 1000 line for almost two years now.

Cha muhimu ni kuishauri serikali kutoanza miradi mikubwa mikubwa kwa kutegemea dhahabu. Kwani bei itakaposhuka, itashindwa kumalizia miradi hiyo.

Wako

ZaKenda

Hapa nakubaliana nawe mkuu, ndio maana hata mimi nimeongelea miradi iliyopo na sio mikubwa. Duniani nchi zote huwa zinachukua advantage ya bei au demand kwenye rasilimali zake.

Wazalishaji mafuta hupata pesa nyingi mafuta yakienda juu, wazalishaji steel hupata mapesa kibao kukiwa na ujenzi wa nguvu unaoendana na matukio kama michezo nk.

Tanzania yaweza pia kufaidika wakati huu ambapo bei iko juu. Wewe unaonaje?
 
Labda tu kwa kuongezea, bei ya soko "huria" siku zote hutegemea demand and supply, na kwa dhahabu ni hivyo hivyo. Mojawapo ya vitu vinavyo influence biashara sana sana demand ya dhahabu ni thamani ya sarafu mbalimbali hususani zile ambazo zinatumika na benki kuu pamoja na bodi za sarafu mbalimbali kuweka akiba za nchi zao.

Unavyoongelea thamani ya dollar kuanguka ni sawa kabisa na hii ni moja tu ya currencies zenyewe ingawa ndio yenye uzito mkubwa. Lakini ukiangalia utaona pia ni volatility inayoonyeshwa na thamani ya sarafu nyingi ambayo inatoa msukumo mkubwa zaidi kwa benki kuu na wadau wa masoko kukimbilia dhahabu. Thamani ya Euro imeongezeka na it being more or less a basket currency has been relatively stable, but why has it not caught on as a reserve currency? Angalia hali mbaya ya uchumi kwa EU member states na uncertain future prospects zake. Besides EU wenyewe hawataki iongezeke thamani maana ina erode competitiveness katika external trade.

Sababu nyingine kubwa ya kupanda kwa bei ya dhahabu ni kwamba katika masoko ya mitaji na bidhaa, bei ya natural tradeables kama mafuta pamoja na metals zingine kama Aluminium, Nickel etc. bado iko chini ya desired price na hivyo haziyield sufficient returns kwa wawekezaji. Hii inamaanisha ya kwamba wafanyabiashara wanalazimika kununua ile kitu ambayo bei inalipa.

You are right unaposema kwamba its an economic cycle. Agents wanazidi kununua tu na pale wakapoona bei imepanda vya kutosha wataanza kuuza dhahabu zao na ndipo bei itakapokuwa depressed unless the gold cartels interfere with the supply side. Keep an eye out for the People's Bank of China.

Maelezo mazuri sana mkuu,

Lakini swali muhimu bado linabaki, Tanzania inafanya nini wakati huu bei ya dhahabu iko juu?
 
By the way, kwani tunayo dhahabu sisi???? Ya kwetu kabla haijachimbwa ikichimbwa tuuu sio yetu ya wenyewe. Reserve yetu ya dhahabu nadhani tunainunua. Naomba mwongozo wenu wanazuoni waliobobea kwenye masuala ya uchumi.
Indeed, kampuni ambazo zinafaidika ni zilizowekeza ambazo ni za Canada, Australia, South Africa nk yetu ni mrahaba wa 3%. Kwa kila wakia 1 yaani kwa kila $1,100 Tanzania inaambulia $33 tu, kampuni zinabaki na $1,067.00 kwa hiyo all that economics ya kuhodhi dhahabu hai-apply kwetu! Labda tununue kwa hizo kampuni ili kuhodhi kitu ambacho ni ni sawa na nchi nyingine zisozalisha dhahabu. Au Mwananchi na Mermeta zingeukuwa kweli za wazalendo sio mafisadi!! Dhahama hii yote ni mikataba ya Mkapa isiyo na tija kwetu!
 
Hope hii inafanya barric Gold more profitable and hope tunawavuna tax,royalty and fees in percentage,lakini hawa mafia sitashangaa wakisema wamepata hasara ili wasilipe kitu maana accounts wata spin mpaka incompetent serikali yetu itaona giza tuu,kama hotels tuu kama Holiday inn na Sheraton wanaweza kutuchezea game wasilipe tax miaka nenda rudi kwa kutumia loophole ndogo tuu unategemea nini kutoka kwa hawa mafia wenye cartels dunia nzima na wanaijua serikali yetu ilivyo corrupt and incompetent kuliko wanavyojijua wenyewe...hawa wakilipa kodi wamependa tuu
Koba,
Barrick bado hawalipi taxes na royalty fee. Wanasema kuwa bado wanapata hasara na hawajamaliza kulipia gharama za vifaa vyao na leba. Labda baada ya miaka 25.
Solution aliyopendekeza Mkreme ndiyo ambayo itatukwamua. Otherwisw tutabak watazamaji dhahabu ikiendelea kunufaisha wengine.
 
Koba,
Barrick bado hawalipi taxes na royalty fee. Wanasema kuwa bado wanapata hasara na hawajamaliza kulipia gharama za vifaa vyao na leba. Labda baada ya miaka 25.
Solution aliyopendekeza Mkreme ndiyo ambayo itatukwamua. Otherwisw tutabak watazamaji dhahabu ikiendelea kunufaisha wengine.

Jasusi,

Hili la kulipia gharama zao za kuwekeza (ambazo ziko very inflated) ndilo linaimaliza nchi. Ni aibu kuwa nchi zingine zinaweza kujadiliana na wawekezaji kwenye hili lakini Tanzania kucheka cheka tu na matabasamu ndiyo tunauza kwa wawekezaji.
 
hawa jamaa watakuwa wanatucheka sana, hakuna tofauti na enzi za mjerumani alipokuja na shanga na mablanket halafu babu zetu wakagawa dhahabu na almas pamoja na ardhi kwa mjerumani
 
Jasusi!
Kubadilisha au kuboresha mikataba mibovu ya madini ambapo Tanzania inapata what CCM ****** call mrahaba wa 3% ambacho hata kiasi wanachochimba hakuna anayekijua and the stupid Mkapa and Mramba walimteua Auditor akahakiki alipwe 1.9% and CCM boasts of having a stable and peaceful country na Vasco Da Gama anatamba kwamba he is the only person to meet Obama and Bush na huwa wanaongea nini? au ushoga!!!

Kama kubadilisha kwa decree tuchukue 50% like they do it in Botwana ameshindwa anaendelea kuunda tume za kipuuzi kuchunguza what is just like day and night na kuendelea kuchezewa shere na akina Masha.Chenge, Rostam Aziz,Karamagi and many other CCM bastards who have high stakes kwenye madini actually we need a peoples revolution kwani kajeshi ketu kamewekwa mfukoni na Mafisadi

Kaka si tuliaminishwa kwamba Meremeta ni sehemu ya jeshi unategemea kutakuwa na usalama wa kimaadili na ukereketwa wa jeshi kwa nchi? Naamini jibu litakuwa hapana, tuombe mungu.
 
Kambarage alikuwa mchumi mzuri kwani hakuhurusu dhahabu yetu ichimbwe mpaka hapo watu wake watakapozinduka!! He was preseving our gold reserves!! Alipotoweka tu, mafisadi wakawaleta wezi wenzao na kuanza kupora reserves zetu na NDIO MAANA TUMEKUWA OMBAOMBA WAKATI NCHI IMEJAA KILA AINA YA RASILIMALI!!
 
Back
Top Bottom