Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Habari JF,
Hakika hii imenishtua sana baada ya kuona bei ya daladala zinazofanya safari ndani ya jiji la dar es salaam kupandisha bei ya nauli kimyakimya au naweza kusema kinyemera pasipo kuutarifu umma
Kwa sasa usafiri kutoka mbezi, kimara kuelekea city center si tatizo tena kwani coaster zimeruhusiwa za kutosha baada ya kuona mwendokasi umezidiwa na uwingi wa abiria wanaoelekea katikati ya jiji, hili ni jambo jema na limerahisisha usafiri hapa mtu anachagua mwwenyewe atumie mwendokasi au daladala
Shida imekuja katika issue ya nauli, kutoka mbezi mpaka kariakoo bei ni shilingi 1000, hii haingalii umepandia gari kimara wala korogwe na baruti wote bei ni hiyo
Hapa mjini kuna daladala zinatembea route ndefu sana lakini nauli zake hazijawahi kufikia kiwango cha 1000, chanika to kariakoo ni 750. mbezi mwisho to temeke ni 750, mbagala to kawe ni 750, makumbusho bunju ni 750
hii route ya mbezi kariakoo inauspecial gani mpaka bei yake iwe 1000?
Ni nani amehusika kupanga bei hii kubwa inayoumiza wananchi bila kujali kwamba gharama za mafuta zimepungua na umbali si mrefu kiasi iko?
Ni kwanini gari zinazopita route hii hazijabandika bei?
Tunaomba mamlaka husika zamani mlikua mnaitwa SUMATRA sasa ni LATRA mlifanyie kazi swala hili
Wananchi wanyonge ndio wanaoumia
Hakika hii imenishtua sana baada ya kuona bei ya daladala zinazofanya safari ndani ya jiji la dar es salaam kupandisha bei ya nauli kimyakimya au naweza kusema kinyemera pasipo kuutarifu umma
Kwa sasa usafiri kutoka mbezi, kimara kuelekea city center si tatizo tena kwani coaster zimeruhusiwa za kutosha baada ya kuona mwendokasi umezidiwa na uwingi wa abiria wanaoelekea katikati ya jiji, hili ni jambo jema na limerahisisha usafiri hapa mtu anachagua mwwenyewe atumie mwendokasi au daladala
Shida imekuja katika issue ya nauli, kutoka mbezi mpaka kariakoo bei ni shilingi 1000, hii haingalii umepandia gari kimara wala korogwe na baruti wote bei ni hiyo
Hapa mjini kuna daladala zinatembea route ndefu sana lakini nauli zake hazijawahi kufikia kiwango cha 1000, chanika to kariakoo ni 750. mbezi mwisho to temeke ni 750, mbagala to kawe ni 750, makumbusho bunju ni 750
hii route ya mbezi kariakoo inauspecial gani mpaka bei yake iwe 1000?
Ni nani amehusika kupanga bei hii kubwa inayoumiza wananchi bila kujali kwamba gharama za mafuta zimepungua na umbali si mrefu kiasi iko?
Ni kwanini gari zinazopita route hii hazijabandika bei?
Tunaomba mamlaka husika zamani mlikua mnaitwa SUMATRA sasa ni LATRA mlifanyie kazi swala hili
Wananchi wanyonge ndio wanaoumia