Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,350
- 271,718
Naunga mkono hojaHata hivyo duniani sio makao, haina haja ya kujenga. Makao yetu ni kwa Baba tuu
Watawala hawana huruma.
Yaani mie ninapojipanga kujenga kachumba self na sebule na wao wanapandisha gharama. Aise basi bwana wacha hizi milion mbili nikale pisi kaliTaarifa iliyosambazwa na Uongozi wa kiwanda cha cement cha Dangote , inaeleza kwamba sababu za kupanda kwa Bei ya cement ni ongezeko la kodi ya serikali kwenye bidhaa hiyo .
Taarifa yao hii hapa .
View attachment 2674532
Kumbe ni buku tuu,sawa tuliambiwa hivyo BungeniTaarifa iliyosambazwa na Uongozi wa kiwanda cha cement cha Dangote , inaeleza kwamba sababu za kupanda kwa Bei ya cement ni ongezeko la kodi ya serikali kwenye bidhaa hiyo .
Taarifa yao hii hapa .
View attachment 2674532
Bado na mafuta ya magari yanapanda pia..Nimeona pia taarifa ya Mbeya cement, nayo imeonesha hilo ongezeko la shilingi 1,000 kwa kila mfuko wa saruji.
Yaani pamoja na ugumu huu wa maisha wameamua ku impose mzigo mwingine wa kodi kwa Raia wake π
=======
Ingekuwa Nchi nyingine zinazoejielewa mfumko huu wa maisha ingekuwa tiketi ya Viongozi hao wakuu na Serikali yao kuondoshwa madarakani
π€£π€£π€£π€£ππ we dogo kuna wakati huwa sikuelewi, hasa tokea suala la dp lije!CCM iondolewe kwa mtutu kwasababu imetumasikinisha kwa miongo mingi.
"Kumbe ni buku tu"..?Kumbe ni buku tuu,sawa tuliambiwa hivyo Bungeni
Naunga mkono hoja, hakuna haja ya kujenga njiani wakati tunapita...π€¨Hata hivyo duniani sio makao, haina haja ya kujenga. Makao yetu ni kwa Baba tuu
Weka katent tu ka kujikinga mvua na jua basiNaunga mkono hoja, hakuna haja ya kujenga njiani wakati tunapita...π€¨