Ahsante sana mkuu, nimeona ILA bado suala la bei bado sijaona, na hilo ndiyo swali langu kubwa, maana hata kwenye site yao wameweka maelezo mengi tu lakini ukija kwenye bei hakuna kitu. Mimi nilikuwa nataka kujua bei hata kama ni ghali kiasi gani, hilo siyo tatizo, hapo nitakuwa nimeshapata idea fulani.broadband ya uhakika Tanzania ni simbanet lakini ni kwa ajili ya biashara bei zao ni ghali sana. nilipata bahati ya kutumia kifurushi chao cha 5mbps
ping yao ni nzuri kiasi kwamba ukitumia unasahau mitandao ya simu, tembelea hii thread wana vifurushi vingi speed pia inaweza ongezeka hadi 30mbps hadi zaidi
Fiber ya simbanet inaonyesha jinsi Tanzania tunavyohitaji internet mbadala
broadband nyengine ni TTCL lakini speed zao ni ndogo sana kwa bei wanayotoza,
hizo zilizobakia wengi wao speed haziridhishi, kwa TZ broadband bado sana
hio niliotumia mimi wanalipa dola 2000 kwenye matawi zaidi ya 10 na wafanyakazi zaidi ya 100 nchi nzima. na kila mfanyakazi anapata dedicated speed haishuki na wala hakuna kushare na mtu speed.Ahsante sana mkuu, nimeona ILA bado suala la bei bado sijaona, na hilo ndiyo swali langu kubwa, maana hata kwenye site yao wameweka maelezo mengi tu lakini ukija kwenye bei hakuna kitu. Mimi nilikuwa nataka kujua bei hata kama ni ghali kiasi gani, hilo siyo tatizo, hapo nitakuwa nimeshapata idea fulani.
hapana sijawahi sikiaAhsante mkuu. Kama nimeelewa vizuri ni dola 2000 kwa mwezi, na bundle yake ni unlimited. Kama ndiyo hivyo basi nimeelewa. Ahsante sana. Je hawana bundle ya kutumia nyumbani? Ukiacha hiyo ya business.
kuana mahali nilifanya network na walichukua ISP wa ttcl kwa cost alzonambiya jamaa Ni kama 3milion but kwa package y mbps nimezisahau hila price utegemea na mbps ngapi unachukuaAhsante mkuu. Kama nimeelewa vizuri ni dola 2000 kwa mwezi, na bundle yake ni unlimited. Kama ndiyo hivyo basi nimeelewa. Ahsante sana. Je hawana bundle ya kutumia nyumbani? Ukiacha hiyo ya business.