broadband ya uhakika Tanzania ni simbanet lakini ni kwa ajili ya biashara bei zao ni ghali sana. nilipata bahati ya kutumia kifurushi chao cha 5mbps
ping yao ni nzuri kiasi kwamba ukitumia unasahau mitandao ya simu, tembelea hii thread wana vifurushi vingi speed pia inaweza ongezeka hadi 30mbps hadi zaidi
Fiber ya simbanet inaonyesha jinsi Tanzania tunavyohitaji internet mbadala
broadband nyengine ni TTCL lakini speed zao ni ndogo sana kwa bei wanayotoza,
hizo zilizobakia wengi wao speed haziridhishi, kwa TZ broadband bado sana