Nina rafiki yangu ambae ndugu yake alivamiwa na majambazi na kujeruhiwa mkono. Bei ya out patient pale MOI imemkatisha tamaa kiasi kwamba inabidi akatafute huduma pengine. Bei aliyopewa MOI ni hii:
Operation fee 200,000
Accomodation kwa siku tatu 120,000
Consultation fee 20,000
Theater charges 90,000
theater drugs 15,000
Anaesthesis charges 90,000
Anaesthesian consultation fee 5,000
Lab investigation 20,000
Medication 20,000
Dressing mara mbili 10,000
Jumla kuu 590,000
Mgonjwa alishalipa 50,000 kumuona daktari. Baada ya kupewa hizi bei yamemshinda. Vidole vyake vinajiunga vibaya. Jamani wana JF naomba ushauri kwa hili. Wapi angalao aende penye unafuu maana tena watu wa chini kumudu hizo gharama si unajua tena. Tatizo liko kwenye vidole viwili tu
Operation fee 200,000
Accomodation kwa siku tatu 120,000
Consultation fee 20,000
Theater charges 90,000
theater drugs 15,000
Anaesthesis charges 90,000
Anaesthesian consultation fee 5,000
Lab investigation 20,000
Medication 20,000
Dressing mara mbili 10,000
Jumla kuu 590,000
Mgonjwa alishalipa 50,000 kumuona daktari. Baada ya kupewa hizi bei yamemshinda. Vidole vyake vinajiunga vibaya. Jamani wana JF naomba ushauri kwa hili. Wapi angalao aende penye unafuu maana tena watu wa chini kumudu hizo gharama si unajua tena. Tatizo liko kwenye vidole viwili tu