newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
I Have long givenup on my Serikali ya CCM.siku hizi i take matters into my Hands.nawashauri msitegemee serikali kwa lolote zaidi ya kuwakata Kodi.hapo kitambo nilikuwa nacomplain mpaka siku mzazi wangu akaniambia kuwa hii serikali ilishapoteza Dira na Ramani muda mrefu sana,toka enzi za Mwinyi.
kilichotakiwa Viongozi wake chini na kuchora upya Road Map on how to govern and manage our resources.
Muhimbili ni Taasisi inayoendeshwa kwa kujaza viraka,hawana vision or kama wanayo its a lip service only.
Kumejaa Mbuu wodini.tena hizi ni wodi za private. wodi ya wazazi private hamna pamba wala nini,wafanyakazi(only manesi)wana moyo wa ukweli na kujitolea lakini hospital management ndiyo iko vibaya na hovyo kabisa.
pole sana,mshauri aende Kibaha kuna hospitali nzuri kuzidi Moyo
kilichotakiwa Viongozi wake chini na kuchora upya Road Map on how to govern and manage our resources.
Muhimbili ni Taasisi inayoendeshwa kwa kujaza viraka,hawana vision or kama wanayo its a lip service only.
Kumejaa Mbuu wodini.tena hizi ni wodi za private. wodi ya wazazi private hamna pamba wala nini,wafanyakazi(only manesi)wana moyo wa ukweli na kujitolea lakini hospital management ndiyo iko vibaya na hovyo kabisa.
pole sana,mshauri aende Kibaha kuna hospitali nzuri kuzidi Moyo