Serikali ilitoa AGIZO kuwa bei elekezi ya sukari ni Tshs.1,900. Ninavyojua AGIZO la Serikali ni AMRI lakini mpaka leo tunauziwa sukari kwa Tshs.2,400. Je hawa wafanyabiashara wapo juu ya Serikali?. Mbona AGIZO walilopewa kuhusu bei ya sukari hawaitekelezi?.