Behind the curtain: September 11

Hii story umemiss kitu kikubwa mno

nimeshangaa jinsi ambavyo umekikosa hiko kitu

hebu tafuta links wikispooks na site zingine

uhusika wa israel kwenye tukio hili hujaugusa kabisa

hebu google dancing arabs on 9/11...

halafu kamisheni yote ya kuchunguza matukio ya september 11 iliundwa
na jews watupu wengine wakimiliki uraia wa Israel na USA..

na kuhusu jews waliokufa WTC ..walikufa wachache mno

wale ambao hawajui kiyahudi...kuna app ya kiyahudi iliyo warn wasiende

hadi mbunge mmoja black nae alionywa asiende new york na rafiki zake wayahudi..'
 
 
The bold jaribu kuiacha akili yako ifanye kazi kwa uhuru zaidi.
Tukio la September eleven halikuasisiwa na alqaida km ulivyoaminisha na hao mabwenyenye.

Na ndo nyie hadi leo mnaamini ni kweli USA walikwenda mwezini, ni nyinyi hadi Leo ndio mnaamini kwamba USA walimuua Osama .

Tafuta ukweli ili uwe huru nasi kila kitu utakachoambiwa na wao moja kwa moja uamini.

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Mkuu The bold naomba kujua kuhusu huyu Afisa aliyezama na MV Bukoba Bwana kama alikuwa na comnection yeyote na shambulizi hili. Na kazi zake huyu jamaa zilikuwa nini?

Abu Ubaidah al-Banshiri
Duh mkuu Mv Bukoba imezama mwaka 1996 wakati tukio aliloongelea the bold la 2001
 
Good piece of writing kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…