Hahahaaaaaaa he's lucky .Allah Akbar basi kabarikiwa sana umekaa nae hivi hiviii [HASHTAG]#the bold[/HASHTAG]
Bila shaka my advocate,nitasema naeOngea nae tena aachie mzigo bwana.
Best regardsBila shaka my advocate,nitasema nae
Naweka muda si mrefu mkuu..
Yeah! Tunaweza kuwasiliana..
Duuh balaaaaaNimejaribu nipandishe sauti ya Atta na Rubani kama nilivyofanya huko whatsapp ila naona inagoma.. so naomba niweke ‘transcript’..
Hii ulikuwa ni saa 8:33 AM sekunde ya 24
Mohammed Atta Anasikika akisema;
"..we have some planes. Just stay quite and you will be OK. We are returning to the airport..... Nobody move, everything will be OK! If you try make any move you will endanger yourself and the airplane. Just stay quite."
"...nobody move please. We are going back to the airport. Don't try to make any stupid moves.."
Rubani LeRoy Homer anasikia akipiga kelele;
"Mayday, Mayday, Mayday!! Get out of here.. May day, mayday! Get out of here Mayday!!"
Alafu anakuwa kimya kwa sekunde tano na kisha kurudia tena Kuita "Mayday"!
Mwishoni muhudumu wa uongozaji ndege kutoka Cleveland Air traffic Control anamuuliza " somebody call Cleveland??" lakini hapati majibu yoyote na simu hiyo ya dharura inakatwa.