Naandika neno nipate updates. Sehem ya 3 iko wapi wadau?
Appreciate. So next ni sehem ya 4?juu kabisa ktk post ya kwanza ya Bold ukimaliza chini pale utaona kuna sehemu kumeandikwa Bofya hapa kusoma sehemu ya tatu
Labda aelekezwe jinsi ya kufupisha, tunaweza kumlaumu kumbe nae hajuiJamani hivi mtu unawezaje kuquote Uzi mzima? Kha!!
Appreciate. So next ni sehem ya 4?
Appreciate. So next ni sehem ya 4?
Daa umenigusa ulipomtaja huyo mwanaume aliyenifia mimi palee mtini.Mbona hafiki au naye siku hizi Kawa Yesu?
Back back.hazipo mbaliyeah next stop ni sehemu ya 4 ambayo na mm ndo naitafuta hapa
Pamoja sana Mkuu! Salutemuch respect kwako mkuu the bold
Hahahaha!! Nimezishusha kwa hasira..Kaka hawa jamaa wanatisha kinoma, hongera kwa kukasirika maana umeziteremsha kama mvua

Shukrani sana comrade..Safi mkuu The bold
Sehemu ya 4, 5 & 6 tayari zipo hewani.. Angalia post # pale mwishoni nimeweka link tayaristory nzuri sana nmeipenda mno inaelezwa kitalaam zaidi.jumamosi ishapita vipi kuhusu sehem ya nne???
HahahahHizi stori unaweza toka udenda umeangalia

Shukrani sana chief..Ahsante Mkuu The Bold, tunaisubiria hiyo jumatano.
Thanks man..
