uko wapi the bold...mwenzio haka kaseries natongozea demu,na anajua mimi ndiye mtunzi,sasa mkuu nilimuambia leo nakutetea sehemu ya nne,tangu asubuhi ananikumbusha najifanya niko bize na kikao,sasa siku inaisha mkuu the bold tafadhali nifanyie wepesi tafadhali kaka.