Behind the curtain: September 11

Yeah ,ni kama ile ya Amsterdam bombing ambayo walikuja kushikana uchawi wenyewe kwa wenyewe,ni false flag terror attack ikiwa imezungukwa na mysteries nyingi ambazo kwetu ni ngumu kidogo kung'amua ila wenyewe wanaopanga wanatulamba vichogo.
 
Mwanzo mwa post ya kwanza, Mkuu The Bold, umeeleza kuwa 11 September attack in US, lilikuwa shambulio kubwa kabisa kuwahi kufanywa nchini humo. Je. Lile shambulio la Pearl Harbour lilikuwa jepesi kiasi hicho?
 
Hizi ni akili za mbuzi sasa wee jamaa unataka mwenzako atembee kwenye mawazo yako wewe?

Lete yako kwa namna ujuavyo na si kutaka mwenzako alete unavyotaka wewe...simple
 
 


The bold na Shigongo wapi na wapi Conductor.

Mi naona usiwasemee watu wengine coz naamini wapo wanaosoma hivyo hivyo nusu nusu na wanaelewa(mimi nikiwa mmoja wapo) so ni vizuri tu kama ni ngumu kwako na wengine (kama wapo) m/usubiri iishe then m/utaisoma kwa uzuri.

Hizi kauli za kusema kama ameishiwa sijui nini na atapoteza wafuasi labda wewe tu. Kuhusu link ingia Google au You tube kule nadhan itakuwepo (kama ni rahis kiasi hicho).
 
Wadau wengine acheni mambo ya kiseng*

Bonge la post alaf una quote kuandika vijimaneno viwili vitatu... Mnatukera tuaotumia simu.

Wengine acheni u hater, kama unaona stori hazikufai sio lazima usome, pia kama una haraka lipia ada kajiunge kwenye group, ukishindwa kabisa komaa na GOOGLE,

msimkatishe tamaa mtu anayepoteza muda wake kukonaa kuandika post ndeefu na zenye mtiririko mzuri kwa mambo yenu ya kiduwanzi..

Big up The bold
 
Umenena mkuu,watu wanaponda huku wanasoma,wanajazba ya kusubilia

Kuwa mvumilivu kama buku huna au unasababu zako binafsi za kuto kwenda whatsapp


Tukomae tuu kibishi bishi humu humu

By the way hv the bold anaumwa nn??

Kapepeluka kwenye vipepeo
 
uko wapi the bold...mwenzio haka kaseries natongozea demu,na anajua mimi ndiye mtunzi,sasa mkuu nilimuambia leo nakutetea sehemu ya nne,tangu asubuhi ananikumbusha najifanya niko bize na kikao,sasa siku inaisha mkuu the bold tafadhali nifanyie wepesi tafadhali kaka.
 
Hahahahhhaaaa kaka zima simu kwanza, the bold atafanya utoswe
 
Mkuu The Bold hapo juu umesema sheikh Salim swedan alikodi chumba nairobi mwaka 1988.nadhani utakuwa umekosea mwaka.itakuwa unamaanisha 1998 mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…