Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
maliza hii maneno na utafurahia maisha,kusamehe is letting go..is a part of healing process.kama kukoma am sure ameshakoma...trust me hatarudia tena.
NB:bado najitolea kuwa shock absorber....aka kidumu.arty:
Hivi mnaposema amsamehe mna maana gani? Manake kwangu mimi kusamehe haina maana waendelee kuwa pamoja.
Ingekuwa mimi ningesamehe ndiyo, lakini uhusiano wa kimapenzi ndo utakuwa ushaharibika. Kusamehe kwangu kunamaanisha sitakuwa na chuki wala uadui dhidi yako. Tunaweza kuwa washikaji wa kupiga wa kupiga stori tu na kujuliana hali every now and then.
Lakini eti nikusamehe halafu tuendelee kuwa mume na mke? Hell no! I will end things but remain friends if the other party is willing to be friends. Otherwise gone bye bye.....