Gwala kwa wana Jf, nawapa salamu wadau wa mziki.
Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha wadau, wapenzi na waandaaji wa Muziki kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ambao wanatumia DAW-Digital Audio Workstation ya Fl Studio ambayo hapo awali ilikuwa ikifahamika kwa jina la Fruity Loops.
Hapa kutakuwa na sharing of ideas, critics ambazo ni constructive kwa kazi ambazo zitakuwa zikiwekwa na members mbalimbali.
Unaweza ku-share Tips za Muziki, Plugins (ambazo unatumia/ulitumia) ambazo unahisi zitawafaa watu watakaokuwa wakiomba msaada kwenye suala zima la Uandaaji wa Muziki.
Tunawakaribisha wataalamu wa Muziki wote ambao wao wanaufahamu mziki kiundani (hapa nawahusisha wale watu waliosoma Muziki kwa manota na wengine). Mimi si muandaaji wa Muziki niliyekamilika na nadhani hata jina la muandaaji wa Muziki hali-fit kwangu kwani huwa ninapiga tu Muziki basic kulingana na miondoko ya beat na Tempo inavyoenda.
Kiufupi naweza kujiita beat maker 😂😂😂😂.
Kwa vipindi mbalimbali nimetumia Fl Studio, na Fl Studio kwa mara ya kwanza niliitumia V12.0.0 na mpaka sasa nipo kwenye Fl Studio V20.7.2.
Napenda sana kutengeneza beats za Afrobeats na Afropop ingawa kwa muda sasa baada ya kuikacha Fl Studio nimekuwa nikijikuta nikitengeneza beats ambazo hata mimi nashindwa kuzi-categorise ila ndo hivyo huwa napenda nikiwa Free niguse japo kidogo.
Nita-share kazi yangu moja kwenye Reply ya kwanza.
SEE YOU THERE
Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha wadau, wapenzi na waandaaji wa Muziki kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ambao wanatumia DAW-Digital Audio Workstation ya Fl Studio ambayo hapo awali ilikuwa ikifahamika kwa jina la Fruity Loops.
Hapa kutakuwa na sharing of ideas, critics ambazo ni constructive kwa kazi ambazo zitakuwa zikiwekwa na members mbalimbali.
Unaweza ku-share Tips za Muziki, Plugins (ambazo unatumia/ulitumia) ambazo unahisi zitawafaa watu watakaokuwa wakiomba msaada kwenye suala zima la Uandaaji wa Muziki.
Tunawakaribisha wataalamu wa Muziki wote ambao wao wanaufahamu mziki kiundani (hapa nawahusisha wale watu waliosoma Muziki kwa manota na wengine). Mimi si muandaaji wa Muziki niliyekamilika na nadhani hata jina la muandaaji wa Muziki hali-fit kwangu kwani huwa ninapiga tu Muziki basic kulingana na miondoko ya beat na Tempo inavyoenda.
Kiufupi naweza kujiita beat maker 😂😂😂😂.
Kwa vipindi mbalimbali nimetumia Fl Studio, na Fl Studio kwa mara ya kwanza niliitumia V12.0.0 na mpaka sasa nipo kwenye Fl Studio V20.7.2.
Napenda sana kutengeneza beats za Afrobeats na Afropop ingawa kwa muda sasa baada ya kuikacha Fl Studio nimekuwa nikijikuta nikitengeneza beats ambazo hata mimi nashindwa kuzi-categorise ila ndo hivyo huwa napenda nikiwa Free niguse japo kidogo.
Nita-share kazi yangu moja kwenye Reply ya kwanza.
SEE YOU THERE