Mbele ya msosi wa ukweli kuna kusahau hizo kanuni za nidhamu ya kula
Mkuu mbona hiyo lugha chepesi sana iliyotumika
Ila mi napenda sana girl asiyeona aibu wakati wa kula,ajisikie free kuliko mtu kujitesa,heri mtu ajiachie kuliko kujitesa.
Uko poa lakini??
Mkuu Tanzania mbona wapo tu wanaokula kwa uma na kisu
Hehehehe mrembo mbele ya mwanaume hashindwi kujicontrol bhana
hakuna kitu kama hicho ukiona mtu yuko hivyo ujue ni tabia kashaikomaza
Mkuu Tanzania mbona wapo tu wanaokula kwa uma na kisu
Ndo manaake....ngoja nianze kufanya zoeziItakuwa hujui kutumia uma na kisu,anza tution chumbani nakuja kukupeleka
Na akishagegeda ndo atawaza
Before you MARRY a lady, invite her
for dinner, eat together & watch out for the
following:-
1. If she starts eating the meat before you it
implies that, she will plan for your salary/income
before you collect it.
2. If she wants to share the meat equally, she
won't be obedient to you, she will always question
your authority.
3. If she asks for juice and water, I am sorry for
you, she is used to hotel quickies! Put her on
voice-mail.
4. If she has a bigger spoon than u, it means u
can't win any argument with her at all and she
may end up beating you one day.
5. If her mouth makes noise while eating, it
means she can't keep secrets.
makalio yenu....!!!!