Before you marry

what if she is hungry, na amemiss meat pengine 6 months wewe ndio umempa nyama siku hiyo??

Hehehehe mrembo mbele ya mwanaume hashindwi kujicontrol bhana
 
hakuna kitu kama hicho ukiona mtu yuko hivyo ujue ni tabia kashaikomaza

Ila mi napenda sana girl asiyeona aibu wakati wa kula,ajisikie free kuliko mtu kujitesa,heri mtu ajiachie kuliko kujitesa.


Uko poa lakini??
 
Ila mi napenda sana girl asiyeona aibu wakati wa kula,ajisikie free kuliko mtu kujitesa,heri mtu ajiachie kuliko kujitesa.


Uko poa lakini??

kujiachia haiamaanishi ndo mtu atafune kama paka plus big spoon bhana lazima ule kwa staha
yeah niko poa
 
heee nife kabisaa kiofisaa wkt ndio nimekiona !! nafakamia km nimetoka Somalia katika vita leo



Hehehehe mrembo mbele ya mwanaume hashindwi kujicontrol bhana
 
heee nife kabisaa kiofisaa wkt ndio nimekiona !! nafakamia km nimetoka Somalia katika vita leo

He he he tatizo warembo mkiwa out mnajifanya hamli,ila mkiwa wenyewe huko majumbani mnakula tu sana
 
kujiachia haiamaanishi ndo mtu atafune kama paka plus big spoon bhana lazima ule kwa staha
yeah niko poa

He he he we utakuwa wale warembo wanaokula soseji mbili halafu wanashiba
 
Sasa mimi sipendi yule msichana ambaye anajivunga halafu akitoka hapo anatamani kulia..akikiangalia chakula anatamani kurudi akichukue.....Njaa inamuuma...then ukute anakoenda anaenda kugegedwa inakuwa shiida na njaa yake maskini

Chakula kimelipiwa Kulaa, sio unakata kinyango eti ndio umeshiba wakati ukimuangalia tuu unajua huyu hajashiba...nyumbani Mapaja mawili ya kuku hayakutoshi...



hakuna kitu kama hicho ukiona mtu yuko hivyo ujue ni tabia kashaikomaza
 

Hapo nakubaliana nawe kabisa!

Ni moja kati ya mambo niliyoaswa na Babu yangu mpendwa.

Mwanamke yeyote akitoa mlio katika kinywa wakati ya kula, mwogope, mwache hakufai! (tena inatakiwa umpatie
utumbo wa taulo- ni mtihani mzuri)

Nashukuru leo nimeweza kupata uthibitisho mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…