Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Unakuta mtu msomi helmet anaita 'element'
Upo jamani!nimekukumbuka ati!!!
Unakuta mtu msomi helmet anaita 'element'
Halment muhimu wapenzi wenyewe hawatabiriki unaweza kujifanya unaye mmoja kumbe yeye ana wengine hukokuwa na mpenzi mmoja utulie
RAHA YA KUTIKUVAA CONDOM AIJUAE MWENYE CHAKE
SASA ASIVAE ALAFU Unase alafu si wako
UTAONA DUNIA CHUNGU
Bsi soge pamben nikupe yaliyonikuta katika kuendesha pikipiki bia helmenthahahhaaah kusutwa sunna
Bsi soge pamben nikupe yaliyonikuta katika kuendesha pikipiki bia helment
Huku jamani PMmi mbona nshasogea kitamboooo
Upo jamani!nimekukumbuka ati!!!
Huku jamani PM
Muongo Mbona pm sijakuona?
Wewe panda gari lililo andikwa Private message kwenye profile yangu utanikuta kituon nakusubirimmh ndo unapanda magari ya wapi
Sasa mie nilikuwa sikuoni humu sasa huko pm ningekujaje?
Haya umeniona. Nakusubiri
Tatizo helmet huwa inaniumiza hivyo napandaka pikipiki moja tu kwa huyo dereva wangu niliemzoea
Haya nakuja
Haya nakuja
Ukumbuke kumvisha 'elementi' lakini..
😱😱🙁🙁