"Bebi mi leo sivai helmet bana..."

"Bebi mi leo sivai helmet bana..."

sexologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
2,276
Reaction score
976
"..Mi dereva mzuri, kila siku nakuendesha lakini bado huniamini"

Hili tangazo huwa linanigusa sana... Kiukweli kuvaa helmet wakati wa shughuli ni ngumu sana... Hata kama utavaa basi ni mechi tatu za mwanzoni baada ya hapo, helemt hutupwa kule..

Raha ya pikipiki uendeshe bila helmet.. Ajali mipango ya Mungu..

Raha ya mapenzi ni kufanya bila kondom ukimwi mipango ya Mungu..


Hapo juu maneno ya kwenye daladala hayo..

Wanaume wa kweli huvaa helmet, wangapi humu ndani huvaa kabla ya kuanza kuendesha pikipiki.....?????????
 
Dah! Saizi helment mwendo mdundo hii ajali niliyoipata nusura roho iache mwili
 
Mie sichepuki hivyo sivai.... Lakini tenda nisemayo na siyo nifanyayo. Helmet na Seat belts ni muhimu.
 
kuwa na mpenzi mmoja utulie

RAHA YA KUTIKUVAA CONDOM AIJUAE MWENYE CHAKE
SASA ASIVAE ALAFU Unase alafu si wako
UTAONA DUNIA CHUNGU
 
Tena ikitokea ajali mara nyingi abiria ndo huwa wanaumia sana tena bila hatia kumbuka helment

Tatizo helmet huwa inaniumiza hivyo napandaka pikipiki moja tu kwa huyo dereva wangu niliemzoea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom