Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 709
CCM hakuna wapiganaji ila kuna wafakamia maji. Kuogelea kwenye kina kirefu zaidi yako unahitaji ufundi wa hali ya juu na si kudandia uonekane kuwa nawe wajua kuogelea.....utafakamia maji bure. Shelukindo ame-prove kuwa ni mfakamia maji.