kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Mhe.Beatrice Matumbo
Shelukindo Mbunge wa Kilindi(CCM) aliyejipatia ujiko kwa kuibua suala la wizara ya nishati na madini kujikusanyia fedha haramu kusaidia bajeti yao ipitishwe leo ametetea watuhumiwa wake wasijiuzulu eti kwa kuwa serikali nzima inanuka, anaonekana kujutia kuleta barua ile bungeni. Naye kapokea kamgao?
Shelukindo Mbunge wa Kilindi(CCM) aliyejipatia ujiko kwa kuibua suala la wizara ya nishati na madini kujikusanyia fedha haramu kusaidia bajeti yao ipitishwe leo ametetea watuhumiwa wake wasijiuzulu eti kwa kuwa serikali nzima inanuka, anaonekana kujutia kuleta barua ile bungeni. Naye kapokea kamgao?