Hivi unaelewa ninachozungumzia Mimi?Mimi sijaongelea utunzi hapa,Mimi nimesifia uumbaji,ningetaka kusifia watunzi ningewataja hao unaowataka wewe........na nimesema mwanzo kabisa ananifurahisha ambavyo haongezi neno kwenye Tenzi wala habadilishi original tunes.