Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides


Ame,
Lengo langu lilikuwa kuandika historia ya wazee wangu na mchango wao
katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
 

Nguruvi3,
Unarudi tena na Cecil Matola na habari zilezile na kunitilia maneno mdomoni.

Fungua uzi mpya huu mwachie Prof. Hirji.
Abdul hakupata kumjua Nyerere.

Alipelekwa kwake na Kasella Bantu mwaka 1952.
 

spread facts not fear

hebu anza kujibu kuhusu Prof Hirji's premises and conclusion moja baada ya nyingine
 
Ame,
Lengo langu lilikuwa kuandika historia ya wazee wangu na mchango wao
katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ok thanks.... Kama lengo ni wewe kuweka kumbukumbu then its done; tatizo linakuja pale ambapo unatamani iwe historia ya wote hapo nadhani histroy ni selfish subject, depending on objective inabakiza records za wale ambao ni extra ordinary so kwangu mimi nadhani Nyerere aliwafunika wote ndiyo maana record zetu zimejaa issue zake kuliko hao wengine; what do you think?

Maana yeye aliwazidi maujanja mpaka akawa kiongozi na kwa hiyo kwa nafasi yake akaweza kusababisha yale aliyoyafanya yakawa ndiyo historia ya nchi yetu....Hao wengine Mungu awabariki kwa wema wao kwa Taifa letu lakini ni ukweli pia hawakupata bahati aliyoipata Nyerere kuweza ku influence nchi na hivyo kupelekea historia zao kuandikwa. Kwakua umeiandika basi nadhani kama ni historia inayokubalika itajitetea yenyewe na itaingia tu kwenye records!
 
Unataka tuwasome watu wanao taka kutumia dini ya kiislamu kuficha udhaifu wao na kutafuta utukufu? Kitwana Kondo ni mmoja wa trustees wa Morogoro Muslim University mbona chuo kinawafia mikononi? Achana na wendawazimu wako wa kuwagawa Watanzania.
Timbilimu,
Huu ni mjadala tu ndugu yangu huna haja ya kunitukana.
Dhulma ndiyo iliyotugawa siyo kalamu yangu.
 
kwani Mohamed Said ni mtume hadi hutaki akoselewe?

Prof Karim Hirji is a well established guru with objective opinion lakini si Mohamed Said a subjective islamic extremist
Wapi nimekuambia hayo maneno kuwa sitaki Mohamed Said akosolewe? Mohamed Said kasema wazi siyo lazima mtu akubali alichokiandika, wewe ndiyo unataka tukubali alichokiandika huyo prof.
 
Ame, yaani huyu watu wanasumbuka sana. Lengo lake ilikuwa ni kwa ajili ya wazee wake. Kosa lake jina la hilo kitabu kuwa kiujumla, a nation without heroes halafu yeye heroes ni wazee wake tu. Hapa amewavutia wengi. Pengine bila hilo jina leo tusinge jadili haya.
 
Last edited by a moderator:
Kwani huyo Prof kaelezea sababu hao Masheikh kukamatwa baada ya Uhuru? Tunajadli history wewe unaleta masuala mengine yafungulie uzi tuje kujadili usichafue mjadala.
 
Wapi nimekuambia hayo maneno kuwa sitaki Mohamed Said akosolewe? Mohamed Said kasema wazi siyo lazima mtu akubali alichokiandika, wewe ndiyo unataka tukubali alichokiandika huyo prof.

wewe hata hueleweki, nakupotezea
 
Kwani huyo Prof kaelezea sababu hao Masheikh kukamatwa baada ya Uhuru? Tunajadli history wewe unaleta masuala mengine yafungulie uzi tuje kujadili usichafue mjadala.

nitake radhi, stop jumping on to a moving wagon dude!
 
Nyakageni,
Mimi babu yangu mkuu Samitungo Mwekapopo alikuja Tanganyika baada ya Berlin Conference akiwa askari katika jeshi la Kijerumani na alikuwa Shirati Bomani. Hakutokea Kigoma.
 
Nguruvi3,
Unarudi tena na Cecil Matola na habari zilezile na kunitilia maneno mdomoni.

Fungua uzi mpya huu mwachie Prof. Hirji.
Abdul hakupata kumjua Nyerere.

Alipelekwa kwake na Kasella Bantu mwaka 1952.

Na hapa ndio upotoshaji wako ulipojikita. Umewafanya watu waamini kuwa Nyerere alikuja Dar mara ya kwanza mwaka 1952 na ndio alipoanza kutambuliwa. Abdul kumjua Nyerere mwaka 1952 haina maana Nyerere alikuwa mgeni Dar. Sivyo? Nyerere alikuja Dar mara ya kwanza mwaka gani na alipokelewa na kina nani?
 
Suala jingine ambalo hakuchuja ni kwamba 29+71=100, ana ushahidi gani kuwa wote waliofanya mtihani mwaka huo walikua waamini wa imani hizo? Ilhali kuna watu kibao nchi hii hawa amini ktk imani hizo mbili, yaani hawapo kanisani wala msikitini na asilimia 100 wanafunzi hao walikuwepo wakati huo na hata sasa wapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…