Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Utawakana hadi nduguze katika imani, mie niko pembeni nasubiri m~`break wind' hadi kande ziishe then nitarudi

Wewe na IBLIS Tabia zenu zinafanana sana.
Nimejifunza kuwa IBLIS (Sheitwani) ana Tabia ya Kujamba wakati Adhana Inapotolewa.
Wewe unajamba wakati waungwana Wanajadili mambo ya Maana.
Wote nyie ni Ukoo mmoja.
Na jahannamu ndio mafikio yenu.
 

wewe jamaa mbona una fujo?matusi yote hayo ya nini?kama huna hoja kaa pembeni,wengine kama mimi ninayetaka kujifunza,JF ni darasa zuri sana.
"HIV HIZI SHULE HUWA MNAENDA KUSOMEA UJINGA" by FF wa JF
 

Mkuu chukua "Like" yangu.Umenena mambo ya maana sana mkuu,ila kwa wenye akili zao na wanaozitumia vyema tu ndio watakao kuelewa.
 
Bwana Hirji FK aka "Professor",

Tafadhali fanza kila uwezalo uje hapa kukabiliana na Nguli mwanzio Historian Dr Said M...maana nakhis yeye yutayari kukupa majawaba dhidi ya Crtique yako, hapa hapa mbele ya kadamnasi ya JF!

Lakini lazim uhakikishe yakua, upo Verified User yaani kama alivyofanza yeye Dr Mohamed Said! Kwani kwa hivi sasa tunapata mashaka kufahamu kama ni kweli huyu Prof. Hirji FK alokuja kutaka radhi/kuomba msamaha, je kweli ndoo weye!?

Pia kama utakubali kuwapo hapa mnakashani, tunakunasihi yakua nasi Wanajamvi wangine wenye mashaka amma kutoikubali hiyo critique yako "kiujumla", utupatie pia furusa kukuuliza masuali ya kina kwayo!

Kujificha kwako na kuadimika hapa jamvini/mnakashani kunazua vumbi,kitahanani na kitimtim kingi mno...khasa kutoka kwa hawa wafuasi wako, ambao wameamua/wanajaribu kuhamisha hii maudhui amma mintaaraf ya mjadala huu...huku wakijaribu ku-ignore ukweli yakua hata weye mwenyewe Professor wao umekubali yakua umefanza "kosa ya kitoto" na umetaka radhi na kuomba msamaha mara kadhaa!?

Sasa, hivi ufanzavyo kukimbia hapa mnakashani, yaani ndio ile "kosa ya kitoto" inazidi kuwa "kuba"!

Kama ile critique umeandika yoote kwa kujiamini na bado unaikubali, sasa jongelea hapa jamvini upate kujibu masuali machache tu ya Wanajamvi na pia upate majawaba yako toka kwa Kaka yako amma "dugu yako" Dr Mohamed Said, au!?

Zaidi ya hivi, unatoa impression yakua uliparamia tu baadhi ya vitu kwa hidden agendas zako, na mbaya zaidi yaelekea unatetea ile injustice inayolalamikiwa na ile segment kubwa ya population ya Watanzania wanzio...huku ati ukijificha nyuma ya pazia la "mwanataaluma"!? Daah!

Ahsanta sana!
 

I can see Nguruvi3 acting like a football fan blaming the player while he does not play even in the school ground. Kabrashas are damaged or some of it gone with Panya Buku now in Kova's custody, and don't tell me now the floods of the bonde flushed away the remaining kabrashas! Because since the day you said you will come back we only see you taking a peekaboo in the debate hall scared of even taking a step. Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Ritz
,
Huyu Nguruvi hajui kilitokea nini baada ya utafiti ule kugawiwa kwa kila
Muislam Tanzania.

Serikali haikusema kuwa sisi ni waongo au sijui "selective sampling," na
nini sijui.

Serikali ilipata mshtuko na wakataka kujua ni akina nani wamefanya haya.

Sisi tulikuwa tumesema kweli na tulikuwa sasa tunatafuta msaada wa umma
tujitoe katika dhulma ile.

Hii ilikuwa mwaka 1981 na baadhi ya makaratasi haya yaligawiwa kwenye
viwanja vya Bunge Karimjee Hall.
 

Mohamed Said
Table 2

My take: Mohamed ulikimbia ukidhani nimeondoka,haya takwimu zako hizo hapo juu, tunaomba mchanganuo ili tujue zinaleta maana gani. Kwa jinsi zilivyo sasa hivi ni kichekesho kama si aibu, zikwamue kwanza kabla hujaandika lolote kihusiana nazo

Tusaidie kufafanua nini kimeleta mshtuko kwa kuangalia hizo takwimu, na zimeeleza nini hasa

Tupe sample size, limitation, exclusion n.k. ili tubaini sehemu nilizokazia uzi mwekundu

Hebu zichambue hizo takwiu 12 zilizokupa conlcusion ili tuone ulifikiaje conclusion hiyo kwa kutumia data hizo
 

What is wrong with you Nguruvi3 you have your answers in the quoted note. The 2 sources:

1) UDSM Student Directory (Not Mr. Said's own data)
2) Daily News wich is the Government owened tool of propagation.

So why should he explain to you go to those sources and confirm if he is cooking the data or not?
Get serious, it seems the Panya Buku did not damage kabrashas only teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

We singa singa una hatari sana
 
Last edited by a moderator:

Mkuu, nipo kipembezoni nakufahamu huku natafuna karmati nashushia na shurbat ya karkadee.


Al Maulamaa Ustaaz Mtafiti mbobezi anakuja na hoja ya " Inavyosemekana" na bado anaita huo uchochezi ni utafiti, tutajua tu leo kama kijambakoti kitatosha au kitavuka kwenye historia yetu adhim.

NB: "Inavyosemekana" ni neno linalotumiwa zaidi kwenye mipasho na vijiwe vya kuzusha.
 

unam quote Punjab Singh halafu unamwita Ritz! UMEBAHA?
 
Last edited by a moderator:
8
Karmati na sharbati lazma uhare sana vitu hivyo hamjazoea nyie wala miguruwe
 
Ritz,
Mweleza kuwa waja wa Allah wanapokutana na wajinga wao husema: "Salama."

Umeambiwa toa clarification ya "inasemekana" data!

The information comes from "the horses mouth", thats YOU!

akina Faiza wame "fart" kuhusu hypothetical data nawe unakuja na "inasemekana" data

MKUKI KWA NGURUWE, KWA BINADAMU . . . .
 

Hivi hizi si umeweka wewe mwenyewe?

Source: 1969/70-1978/79 University of Dar es Salaam Students Directory.

1979/80-1981/82 Daily News June 1979/1981

Cha kushangaza, source unaitaja wewe mwenyewe halafu unamuuliza Mohamed Said

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Last edited by a moderator:

basi nitamuwia radhi kwa
yote kwa sababu yeye si mweledi katika dhulma dhidi ya Waislam.

Mzee wetu tunaendelea kukutahadharisha tena, malalamiko yako na uchochezi usipende kuyavika jina la historia hausikii, unasubiri uumbuke mara ngapi?

Mimi naandika kwa kuwa naamini nina dhima ya kuifahamisha jamii kile
ninachokifahamu
.

Mzee wetu wa Kariakoo gerezani, kile unachokifahamu hakiwezi kuwa historia ya Tanganyika history ni facts...Kila mtu angeleta kile anachokifahamu na kutaka iwe historia rasmi ya Tanganyika ingekuwa ni vurgu kubwa.

Naamini nimekufanza!!
 


= Kalimati

= sharbati
 
Nyakageni,
Huyo jamaa nazungumzanae kupitia Maalim Faiza na Ritz.

Au hairuhusiwi?

unasema Faiza "who calls a kettle black with hypothetical data, sparing a naked king (the pot) who is sooted black with inasemekana data?
 

Jee, umewahi kumsikia Mshume Kiyate?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…