Ngongo na Nguruvi3Ndugu yangu Nguruvi3 hivi kweli unategemea watakupatia jibu hawa waheshimiwa mi nasubiri viroja.
have always admire you, this a broad facet of our socio and economical evolution and developments , i know the truth will be resisted by many , but i give you my respect
Kwa hiyo unakubali kua PROF Anaweza kukosea kama wewe mkuu?
The previous article was not complete. The administration has been replaced it by the provided complete original by special request of the Author (Karim Hirji)
Umesahau ulisema kuwa unamsubiri Hirji.
Takwimu zako zipo ubaoni, sasa ni wakati wa kudadavua. Hili ni jamvi na wala hakuna makubaliano nani aongee nani akae kimya.
Unakumbuka uliwahi kuuliza 'wenzetu' wamekimbia jamvi hawana hamu na wewe, sasa mwaliko umeitikiwa
Tunasubiri utupe mchanganuo wa takwimu zako, nyingine zipo njiani kabla ya alfajiri zitakuwa hapa ubaoni
FaizaFoxy,Kumbe ni admiration yako kwa Hirji ndiyo inakutowa ufahamu, ni vyema tumeelewa hilo, lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, pitia kidogo jibu nililompa "admirer" mwengine wa "Professor" Hirji:
And you call criticizing a paper of history by "hypothetically..data.." proper?
In that case and if I agree with you (of which I am sorry to say I will not) you could come up with the history paper with the "hypothetical" Year 1297 of which Vasco Da Gama set sail in Kilwa for India instead of 1497 and be correct, when asked why? you will justify; just because "medical students use cadavers instead of real patients" so you have used hypothetical data?
What a vapid scholar you are. Not only you have used "hypothetically...data..." but you went further and used imaginary "four people" to give imaginary answers to your imaginary questions based on your historical incorrect "hypothetically...data..." .
And cadavers in medical school is your justification?
Nnawahurumia sana wanafunzi wanaofundwa na "Professor" kama huyu Hirji, hakuna zaidi bali wanajazwa ujinga tu.
nikifuata historia ya makuzi yangu nadhani tatizo la udini lilianza baada ya ideology ya ujamaa kupotea kama dira ya maisha ya watanzania, mimi kwa maisha yangu ya ukuzi sikutegemea kama kutatokea Chembe cha matukano kwa nyerere au wakristo, na hii Ndiyo iliyotufanya sisi wakristo wengi tusiandike historia yetu , tofauti na ndugu zetu Waisilamu wao waliweka yao kificho na inda kubwa, ili kuwa rahisi sana miaka ile kuongea na Mzee rupia, mungu amrehemu, Mtoto wake albano mungu amrehemu, mama na Wazee wengi wa mission quarter , wazeee wa quarter za railways ambao walishiriki sana kukamilisha na kigombania uhuru huu. Lakini nadhani Muda upo lakini naelewa response ya wenzetu itakuwa jee , miaka ile kama tungejua tusinge kuwa tunashinda kusheza korokoro Shule ya uhuru Bali makanisani tukinukuu historia, tumefundishwa Inda na lazima tujifunze
Sijui kama atakujibu hata kama akijibu hawezi kukubali msimamo wake na wako tofauti yeye anaamini EAMWS haikuvunjwa na Nyerere.
kazi mnayo wapenda dini,lakini umaskini wetu upo palepale haijalishi wewe muislamu au mkristo.
Maalim Mohamed Said.Sadoliki,
Texi Ritter huyu alikuwan mbabe wa senema za bure.
Fernando Sancho na Guliano Gema hawa walikuwa wanakuja kwenye senema
za kawaida kama vile Empire, Avalon nk.
Hawa akina Sancho walikuwa walikuwa actors katika Westerns lakini si za
Hollywood ambazo Wamerekani kwa wivu wao wakazikebehi na kuziita
Italian Spaghetti.
Zipo hizi spaghetti kama "The Good The Bad and the Ugly," (Clint Eastwood)
zilikuwa nzuri na hivi sasa ni classics.
Ipo kwenye maktaba yangu.
Siku nikifurahi naitazama.
Lakini yote hawa yanatukumbusha mbali katika siku za utoto wetu.
"Professor" akikosea wanafunzi wanajifunza nini zaidi ya ujinga?
Mimi siyo Prof mie muuza kahawa tu hapa mtaani kwetu Karatu.Unajuaje Ritz sio Prof, Dr. or any, au mpo Lumumba pamoja,
Mkuu ningependa tujadili purpose ya Nyerere kuivunja EAMWS ilikua nini ilhali vyombo Kama TEC na CCT ambavyo kazi na malengo yake yaliwiana Sana na EAMWS lakini hivi viliachwa?
Napenda Sana tujadili hili.
GAUTAMA.
Kuandika Peper kwa maana ya paper Inaweza kuwa sawa na
Kuandika maji maji badala ya mau mau?
Tumia akili na punguza ushabiki.
Huoni kama hilo la Peper ni spelling mistake na mwandishi hakuwa na muda mreeefu kusoma na hata kuhakiki kabla kama muda aliokuwa nao Unayejiita Prof Hirji alipokaa kitako na kuandika Paper yake na hata kuiwasilisha kwa jamii.
Acha kutetea UZEMBE wa Hirji.
Hivi ushangai hata mwenyewe Hirji ameliona hilo na ndio maana kajificha mbaaali kawaacha vibaraka wake mpambane.
labda nisaidie kumuulize JE Hirji ni Prof wa History?
Mimi siyo Prof mie muuza kahawa tu hapa mtaani kwetu Karatu.
Sasa kwa nini utumie lugha usioweza Ustadh?, na kama umeshindwa kuandika neno dogo namna ile je utawezaje kuwa na hoja za maana?,
Kwa sababu kama umeandika Peper badala ya Paper hii inamaanisha aidha ni kilaza, una pupa na hauna umakini.............
Nyie si mnajifanya infallible eeh, tutaenda tu sawa.
Acha upuuzi wewe, kaangalie kwenye dikshenari peper maana yake nini, after all Hirji sio Prof wa History, kama Profesa Kimambo angefanya hivyo walau ningepata shida.
Hata Basil Davidson angeandika kama alivyoandika Prof Hirji bado sio tabu sabab hakua Prof wa History, tatizo ni hili la Mohamed Said kutojibu hoja za Prof.
Gautama,Sasa kwa nini utumie lugha usioweza Ustadh?, na kama umeshindwa kuandika neno dogo namna ile je utawezaje kuwa na hoja za maana?,
Kwa sababu kama umeandika Peper badala ya Paper hii inamaanisha aidha ni kilaza, una pupa na hauna umakini.............
Nyie si mnajifanya infallible eeh, tutaenda tu sawa.