Wahanga wa siasa na madaraka
mshanajr, unaniangusha sana chama tawala kukitoa madalakani Afrika si sawa na kumnyamazisha mtt kwa kumpa pipi,kunahitaji kujitoa kwa hali na mali.MUKIWAZA HAYO BASI TUANZE KAMPENI YA KUPINGA MABADILIKO KWA KUWA MWATAKA MABADILIKO HUKU MUNAKUNYWA KAHAWA HAIWEZEKANI NA HAITAKAA KUWEZEKANA KWA AFRICA.Wahanga wa siasa na madaraka
samsun sijakuangusha ccm ndio wanaweza kutuletea balaa lote hili...umemsikia mkapa alichokisema? God forbid lakini kama kuna washenzi na dhalimu kwasasa ccm ndio wenyewemshanajr, unaniangusha sana chama tawala kukitoa madalakani Afrika si sawa na kumnyamazisha mtt kwa kumpa pipi,kunahitaji kujitoa kwa hali na mali.MUKIWAZA HAYO BASI TUANZE KAMPENI YA KUPINGA MABADILIKO KWA KUWA MWATAKA MABADILIKO HUKU MUNAKUNYWA KAHAWA HAIWEZEKANI NA HAITAKAA KUWEZEKANA KWA AFRICA.
yule mtu alisema bahati mbaya bunduki.............................................bahati mbaya haupo karibu