Be smart now, situation of TZ 10 years from now

Be smart now, situation of TZ 10 years from now

Aviero 25

Member
Joined
Jan 15, 2022
Posts
29
Reaction score
61
Greeting
Sijuw wew kama mim, kizaz kipya kilichobarikiwa kitu kikubwa tangu dunia kuanza (internet)..

Lakin natak kukuambia tu kuwa tunapokwenda ndo kugumu zaid ikiwa upo na mentality izo izo za wazee ambao ujanan kwao zilikuwa zinafunction vzr tu, ila kwa speed ya dunia kila siku zikienda rate of updating inakuwa na watu kuwa extra zaidi.

Vijan wengi hii kitu bado hawajaishtukia bado ni wavivu wa kucreate, kuthink about the life and everything on the future.
Ikiwa leo hii unahisi maisha ni magumu, nakuhakikishia yatakuja kuwa magumu zaidi in 2032.. kipind ambacho tutakuwa na wasomi wengi wenye masters, degree and diploma.

Lkn hutoweza kutofautisha kati y msomi na form 4 failure.

Tutakuw na makondakta wenye unafuu wa maisha kulik graduates , ila ukwel usemw tu kuw hicho kipindi tayr tumesh kifikia, kipind ambacho mtu mwenye division 4 y form 4 ana duka la nguo ana maisha mazur kuliko degree holder, it's going to be worse than this.

Kipind hich thaman ya pesa itakuwa kama jani la muembe tu.

Nakmbk 2012 naul student tsh150 sijuw saiv ni kias gan, nlijarib kuongea na mzee na kumuuliz kiwanja cha hii nyumba ulinunua kias gan amenmbia Tsh2,500 miak ya 2000 ap, thaman ya hii nyumba muda huu more than 80M, nafkir unashuhudia kw macho yako inflation inavyonyoosha watu at this time je 10 years from now itakuwaje?

So usije kushangaa mtu analipia noti kupanda daladala, usije kushangaa mtu kwenda na magunia 10 yenye noti kununua kiwanja kidogo tu.

Kizaz chetu, tuliozaliw 2000 wote, kitakuwa tayar kimeshafikish umri wa kujitegemea, tutegemee kizaz cha OVYOOOO sana kuwahi kutokea duniani.

Uzinzi na umalaya utashamiri, ugumu wa maisha utakuwa mgumu zaidi ya unaouona sas yaan at all time high, wazazi na watoto wote like a zombie .

Good finance and high economy itakuwa kwa watu wachache wanaojuw kuplay game in smart leo hii haw ndo wale wanaoonekan punguwan na kutokuwa na mbele wal nyuma na wale wanaovimba kw magar na vyomb vya kuazim muda huu wishes zitakuwa nyingi kupit maelez kwa kucheza na muda, walio ishi na fake life wote watakuwa hoi 10 years from now.
Kiufupi hapa ndo maji yatatoka na kujuwa nani kavaa nguo na nani yupo uchi.

Hustler watajulikan na fakers watadhalilika sana..
Lakin pia muhim zaid, in 10 years from now watu watapata uelewa kuwa wanasiasa ni takataka tu na watu wa ovyo kabs.
Watu wataanza kuelewa na kutia akilini kuwa you have take 100% responsibility in your life. Ila pia jambo la ksikitish ni kwamba most of people will have their parents gone ,

Kizaz cha wazee wetu kitaanza kufutika kidog kidog, tutabak vijan, the old Golden generation will perish, tutaangalia nyuma miaka 10 na kuappreciate vitu tulivyokuwa tunalaumu na kulalamika. Wengi watalia kwa kufanya upuuzi ila wachache watakula waliyoyapanda.
Be smart enough for invest in yourselfView attachment 2331588
 
Tumeishi kwenye miraba midogo ya kuchorewa na binadamu wenzetu iliyosababisha tukajazane kiasi kwamba mwenye mabavu atakula vyake na vyako ukiwa popoma.
Hi Vita haiishii kuwa na elimu ya darasani ili kuishinda.
Mfumo feki tuliorithishwa kuendesha maisha leo unabaka haki za wote tuliorithishwa na kuamini.
"We have the real owners"
 
Ungetoa ground za prediction yako kwa mambo uliyoyataja.
Siku zote kizazi kipya kinakuwa Bora kuliko kilichopita na hata hao form four unaowazungumza si wote watakuwa wanawazidi graduates.
What do you mean by invest in your self...fafanua hapo mkuu.
Mbona Kuna watoto wa 2000s Wana akili nyingi kuliko hao wazee?
Kusema mtu atabeba pesa kwenye toroli si kweli kwanza hard money zinaisha muda wake itabaki online transaction tu kama kwa wenzetu.
Nakubali hapo uliposema kufake life lakin pia naona ni swala la priority tu sababu hatuwezi lingana kwenye vipaumbele hivyo wewe unaona mtu anafake kwa kufanya jambo Fulani kumbe kwake yeye ndio sahihi kwa muda huo.
Na pia kuishi kwa tabu leo sio guarantee ya kuishi vizuri baadae Kuna vitu vingi hapo vinachangia.
Ukweli ni Kwamba dunia tunayoiendea ni ya kutumia akili zaid kwa hiyo mafanikio ya mtu yatategemea zaid matumizi sahihi ya ubongo.
Maisha ni haya haya mzee.
 
Ungetoa ground za prediction yako kwa mambo uliyoyataja.
Siku zote kizazi kipya kinakuwa Bora kuliko kilichopita na hata hao form four unaowazungumza si wote watakuwa wanawazidi graduates.
What do you mean by invest in your self...fafanua hapo mkuu.
Mbona Kuna watoto wa 2000s Wana akili nyingi kuliko hao wazee?
Kusema mtu atabeba pesa kwenye toroli si kweli kwanza hard money zinaisha muda wake itabaki online transaction tu kama kwa wenzetu.
Nakubali hapo uliposema kufake life lakin pia naona ni swala la priority tu sababu hatuwezi lingana kwenye vipaumbele hivyo wewe unaona mtu anafake kwa kufanya jambo Fulani kumbe kwake yeye ndio sahihi kwa muda huo.
Na pia kuishi kwa tabu leo sio guarantee ya kuishi vizuri baadae Kuna vitu vingi hapo vinachangia.
Ukweli ni Kwamba dunia tunayoiendea ni ya kutumia akili zaid kwa hiyo mafanikio ya mtu yatategemea zaid matumizi sahihi ya ubongo.
Maisha ni haya haya mzee.
Appreciate acha muda uongee mkuu
 
Siku zote kizazi kipya kinakuwa Bora kuliko kilichopita
Mkuu, naomba tujadili hapa kidogo, pengine unipe madini yanasadifu uhalisia.

Kwa mfano, kizazi cha kina Nyerere tukifananishe na cha kina Lisu, JK na Samia? Kipi kitakuwa bora? Kwanini?

Wale kina Galileo, Mark Angelo, Da vinci, Newton, etc na hiki cha akina Elon Musk, Gates, Zuckenberg etc, kipi bora? Kwanini?

Kizazi cha kina Lisu, JK, etc na kizazi cha kina Hapi, Makonda, Sabaya, Bashe, Mwigulu, Januari, Jokate, Niki wa pili etc, kipi bora? Kwanini?
 
Mkuu, naomba tujadili hapa kidogo, pengine unipe madini yanasadifu uhalisia.

Kwa mfano, kizazi cha kina Nyerere tukifananishe na cha kina Lisu, JK na Samia? Kipi kitakuwa bora? Kwanini?

Wale kina Galileo, Mark Angelo, Da vinci, Newton, etc na hiki cha akina Elon Musk, Gates, Zuckenberg etc, kipi bora? Kwanini?

Kizazi cha kina Lisu, JK, etc na kizazi cha kina Hapi, Makonda, Sabaya, Bashe, Mwigulu, Januari, Jokate, Niki wa pili etc, kipi bora? Kwanini?
Kizazi hiki ni bora mara dufu...wakati ule kupiga simu mpaka uende posta uhesabiwe maneno (umesahau zile hesabu) leo hii tunachat hapa.
Zamani hata huduma za jamii hazikuwa nzuri ndio maana mtu anazaa watoto wengi ili wakifa wabaki hata watatu leo hii dunia imejaa watu sababu hawafi hovyo kwa magonjwa yanayotibika.
Vijijini kipindi cha zamani maji ni kusafiri ili uyapate umeme haikuwepo, barabara hazikuwepo mnalima mazao hamuwezi yauza mkoa jirani mnakula tu mpk mavuno mengine mnamwaga mazao ya mwaka uliopita.
Mkuu Sasa Kuna nafuu sana....angalia statistics mabilionea wanaongezeka sababu kizazi cha Sasa kinatumia akili zaid si nguvu.
Technolojia imerahisisha Maisha sana nguvu ni kidogo tu zaid akili...zamani hata kupalizi shamba ni mpk mshike jembe leo hii Kuna dawa za kuua magugu.
 
Kizazi hiki ni bora mara dufu...wakati ule kupiga simu mpaka uende posta uhesabiwe maneno (umesahau zile hesabu) leo hii tunachat hapa.
Zamani hata huduma za jamii hazikuwa nzuri ndio maana mtu anazaa watoto wengi ili wakifa wabaki hata watatu leo hii dunia imejaa watu sababu hawafi hovyo kwa magonjwa yanayotibika.
Vijijini kipindi cha zamani maji ni kusafiri ili uyapate umeme haikuwepo, barabara hazikuwepo mnalima mazao hamuwezi yauza mkoa jirani mnakula tu mpk mavuno mengine mnamwaga mazao ya mwaka uliopita.
Mkuu Sasa Kuna nafuu sana....angalia statistics mabilionea wanaongezeka sababu kizazi cha Sasa kinatumia akili zaid si nguvu.
Technolojia imerahisisha Maisha sana nguvu ni kidogo tu zaid akili...zamani hata kupalizi shamba ni mpk mshike jembe leo hii Kuna dawa za kuua magugu.
Kwahiyo mkuu, aliyetengeneza formulae na kueleza jinsi ya kutumia, na yule anayeitumia zaidi kutokana na muda tu, nani zaidi?

Mfano, binadamu wangekuwa wanaishi miaka 1000, Da Vinci akakutana na Elon Musk milenia hii, unadhani nani angekuwa bora?
 
Kwahiyo mkuu, aliyetengeneza formulae na kueleza jinsi ya kutumia, na yule anayeitumia zaidi kutokana na muda tu, nani zaidi?

Mfano, binadamu wangekuwa wanaishi miaka 1000, Da Vinci akakutana na Elon Musk milenia hii, unadhani nani angekuwa bora?
Kwa nini huyo aliyetengeneza formula ilishindwa kuzitumia mpk kizazi kipya kije? Hapo hakuna zaid sababu Kila mmoja ana mchango wako kwenye Maisha ya Sasa. Ila hiyo haiondoi ukweli kwamba kizazi hiki ni bora na kinaishi Maisha Bora zaid...
Zamani Kijiji kizima watu hawajui kusoma kwa hiyo inabidi mlale hospitali si sababu mgonjwa kazidiwa sana ila sababu hakuna anaweza kusoma 2*3 Sasa utaniambia hicho kizazi ni Bora kuliko leo ambapo watu wanafanya vitu complex kabisa.
 
Kwa nini huyo aliyetengeneza formula ilishindwa kuzitumia mpk kizazi kipya kije? Hapo hakuna zaid sababu Kila mmoja ana mchango wako kwenye Maisha ya Sasa. Ila hiyo haiondoi ukweli kwamba kizazi hiki ni bora na kinaishi Maisha Bora zaid...
Zamani Kijiji kizima watu hawajui kusoma kwa hiyo inabidi mlale hospitali si sababu mgonjwa kazidiwa sana ila sababu hakuna anaweza kusoma 2*3 Sasa utaniambia hicho kizazi ni Bora kuliko leo ambapo watu wanafanya vitu complex kabisa.
Unazingatia na suala la muda lakini? Suala la mazingira bora linaweza kuwa sawa na kizazi bora?

Bado sielewi jambo hapa! Kama nitagundua kuwa Dhahabu ni mali, nikatafuta maarifa ya kuitafuta dhahabu hiyo, nika-identify maeneo yenye dhahabu hiyo, nikaweka kwenye records, kimaandishi.

Kutokana na pengine umri wa binadamu kuishi, maisha yangu hapa ulimwenguni yakatamatika.


Wewe ukashika records zile, ukachukua vifaa vile nilivyounda, ukae da maeneo niliyoainisha, kuchimba mali niliyokuambia! Dunia nzima ilishajua thamani yake, wewe ukaiuza na kuishi vizuri.

Wewe ni bora kuliko au uko kwenye muda wako? Umefanya nini chako mwenyewe, kufuata maelekezo? Au kuelewa maelekezo ni kuwa bora zaidi?

Suala la uduni wa maisha, sio suala la kufananisha, ukijaribu kuuliza, ni lini kwa mara ya mwisho nchi za Ulaya na baadhi ya Amerika kusikia tatizo la kutokuwa na maji safi na salama, itabidi wazame kwenye historia! Sisi hapa je? Hata sasa, tuko dunia moja ila hatuishi ulimwengu mmoja, sisi na wa Ulaya/Amerika, nani bora zaidi?
 
Pamoja na Utandawazi huu tunaoulaumu lakini me naona Duniani kumekuwa sehemu salama zaidi kwasasa, Ulimwengu umestaarabika, Ebu rudi kutoka 2000 kuelekea nyuma fuatilia history ni masuala ya Vita, Utumwa....n.k ndo sembuse sasa tulalamike thamani ya pesa kushuka..... Og sikia mkuu Hatutoishi kwa mkate tu bali kwa kila neno asemalo Mungu, Kuja Duniani kuna sababu na ikumbukwe tunapita tu.... Umiza kichwa chako ikiwa unahisi utaishi milele kwenye hii dunia ila kama unajua unapita basi fanya kazi kwa kiasi chake na Umuombe Mungu wako tu, Kijana Mwenzangu maisha yasikuchanganye wala kukuvuruga kiasi uone kama unateseka hapana, We amini kwamba kila unachopitia kitapita tu kiwe kizuri au kibaya.
 
Unazingatia na suala la muda lakini? Suala la mazingira bora linaweza kuwa sawa na kizazi bora?

Bado sielewi jambo hapa! Kama nitagundua kuwa Dhahabu ni mali, nikatafuta maarifa ya kuitafuta dhahabu hiyo, nika-identify maeneo yenye dhahabu hiyo, nikaweka kwenye records, kimaandishi.

Kutokana na pengine umri wa binadamu kuishi, maisha yangu hapa ulimwenguni yakatamatika.


Wewe ukashika records zile, ukachukua vifaa vile nilivyounda, ukae da maeneo niliyoainisha, kuchimba mali niliyokuambia! Dunia nzima ilishajua thamani yake, wewe ukaiuza na kuishi vizuri.

Wewe ni bora kuliko au uko kwenye muda wako? Umefanya nini chako mwenyewe, kufuata maelekezo? Au kuelewa maelekezo ni kuwa bora zaidi?

Suala la uduni wa maisha, sio suala la kufananisha, ukijaribu kuuliza, ni lini kwa mara ya mwisho nchi za Ulaya na baadhi ya Amerika kusikia tatizo la kutokuwa na maji safi na salama, itabidi wazame kwenye historia! Sisi hapa je? Hata sasa, tuko dunia moja ila hatuishi ulimwengu mmoja, sisi na wa Ulaya/Amerika, nani bora zaidi?
Mfano wa dhahabu sidhani kama unaaply sana hapa.
Jiulize huyo Galileo mwenyewe akiamka leo hatashangaa mambo yaliyofanyika toka amevumbua theory zake?
Kuna mabadiliko makubwa kwenye Kila eneo kutokana na wtu kufikir sana.
 
Mbona hujatoa credit kwa sirjeff deniss wewe wakati tunajua umetoa kwake hayo??
Master naomba katafute kitabu cha Michio kaku kinaitwa the future of the mind, ukikielew utagundua sote tumejaribu kusambaz some of knowledge kw watu wanopenda kutafuniwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom