Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.


Don’t buy used car from Be Forward..!! Gari zao zimechoka sana sana, wanaziosha na kuzipiga polish na little maintenance alafu wanakwambia iko vizuri sana, ujue Be Forward ni ya Mkinga mtanzania yuko Japan, kusema ukweli, magari mengi mno ya Be Forward ni mabovu sana na customer care yao mbovu sana..

I always buy cars from Japan kwa kufuata mwenyewe huko Japan au kupitia mitandao kama SBT Tz au TCV etc..!!
 
Ni kama bahati hivi kupitia huu uzi. Ningepata hypertension mwaka huu dadeki

Don’t buy used car from Be Forward..!! Gari zao zimechoka sana sana, wanaziosha na kuzipiga polish na little maintenance alafu wanakwambia iko vizuri sana, ujue Be Forward ni ya Mkinga mtanzania yuko Japan, kusema ukweli, magari mengi mno ya Be Forward ni mabovu sana na customer care yao mbovu sana..

I always buy cars from Japan kwa kufuata mwenyewe huko Japan au kupitia mitandao kama SBT Tz au TCV etc..!!
Nashukuru mkuu, nitatfuta SBT na TCV nione option zake. Je hao wana ofisi hapa TZ?? Maana Be forward wapo Kariakoo na Posta na baadhi ya mikoa, ila huduma zao ni mbaya sana. Inasikitisha
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.

Pole sana mkuu. Inasikitisha sana hii.
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Unacho sema kinafanana na ukweli, mwenyewe nimekuwa mhanga wa hiyo mambo ya hao jamaa.Ushauri wajirekebisha kabla ya kuchelewa,muda na gharama ya ujenzi wa kampuni ni zaidi ya manufaa ya wasio waaminifu ndani ya kampuni 🥴
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Magari mengi kutoka Singapore ni mabovu wanatabia ya kupiga rangi iliyaonekane mapya.

Kama bado unaipenda hiyo gari nakushauri badilisha engine, kama ni model ya 2014 engine yake ni 2AZ-FE ambayo inatumika kwenye baadhi ya Harrier , Kluger, Rav4 etc.

Sina uhakika sana ila bei inaweza kucheza kwenye 3m to 6m inategemea na hali ya engine bongo zipo nyingi tu.

Ukipata na fundi mzuri gari inaweza ikakaa vizuri....
 
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.

Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.

Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
Umesema kweli....mdogo wangu aliagiza forester kutoka Singapore. Gari ilisumbua sana bahati nzuri alipata mteja akauza...

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Pole sana mkuu!!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
sio befoward tu kuna kampuni inaitwa janjapan ukiingia kwenye site yao bei kuweka ni ngumu ni kama wao uwacheki na kusema ofa yako alafu pili picha zao si nzuri na kama kuna tatizo au mapungufu hawa waziweki,pili ile document ya kukuonesha gari spection toka kwao sio kila gari.
ila kama ujawazoea na utaalamu lazima wakupige za uso wa mfungo mpaka pasaka
jina lenyewe tu JANJA JAPAN
 
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.

Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.

Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
umemaliza kila kitu. nashangaa sana sana wanaoagiza gari toka nje wakati yard za magari kibao mchawi fundi wa uhakika kuikagua na kumaliza mchezo. wacha yawakute.
 
Ndio hivyo na gari ipo juu ya mawe, inaniumiza sana. Mbaya zaidi Be forward hawakutaka kunisaidia kwa lolote. Imenikatisha sana tamaa ya kutumia Be forward, na sifahamu sana mitandao mingine ambayo ni genuine ya kuagiza magari

Mitandao nina experience nayo
1. TRUST (japanesevehicles.com), the best tho wana gari chache
2. Autocom japan
Mingine ambayo nimesikia watu wanakubali
3. Enhance auto

Bahati mbaya beforward nimeshasikia na kuona malalamiko kadhaa, yani huko ni akili kumkichwa.
 
Magari mengi kutoka Singapore ni mabovu wanatabia ya kupiga rangi iliyaonekane mapya.

Kama bado unaipenda hiyo gari nakushauri badilisha engine, kama ni model ya 2014 engine yake ni 2AZ-FE ambayo inatumika kwenye baadhi ya Harrier , Kluger, Rav4 etc.

Sina uhakika sana ila bei inaweza kucheza kwenye 3m to 6m inategemea na hali ya engine bongo zipo nyingi tu.

Ukipata na fundi mzuri gari inaweza ikakaa vizuri....
Nashukuru sana mkuu ngoja nifuatilie hili
 
Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Dah! Pole sana Mkuu. Kwa Alphard hiyo hela ilipaswa upate gari isiyo na shida kwa kiwango hicho. Hao watu wamekuonea sana.

Ya kwangu iliwahi kupata shida kama hiyo, na ikawa inakunywa mafuta balaa, ila Kuna dogo mmoja mtundu aliiokoa ikatulia kabisa.

Sijawasiliana naye muda mrefu, maana niko safari, ila kesho nikipata namba zake nitakutumia. Yeye yuko Dar. Anaweza kukusaidia.

Ova
 
Back
Top Bottom