ONTARIO
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 1,885
- 17,018
Hi JF,
IT'S CALLED HIGHLY PURE CLASS CLASSIC 1 STANDARDS, VIWANGO.
Niadmit wazi, heartdly hapa MMU kuwa nilikua m1 wa wafuasi wengi wa ndg. E. N. Lowassa. Mimi na wafuasi wengi tulikuwa na expectations kubwa sana juu ya EL na uraisi, media pia, upinzani pia, chama tawala pia, wachambuzi wa siasa, nahisi hata yeye pia, had big expectations.
Watu wengi kwenye jamii tulitegemea kuona CCM ikimsimamisha ndg. EL kupeperusha bendera yao ya uraisi, 2015. ndugu EL kajinoa kwa muda mrefu sana, tangu '95, kakubali kufanya kila awezalo, katumia nguvu nyingi, katumia pesa nyingi, katumia emotions nyingi, katumia mbinu nyingi, katumia muda mwingi, kakubali atukanywe, achafuliwe, adhalilishwe, lakini yeye alijitahidi kufanya kila awezalo ili jina lake liwe safi na akubalike katiki jamii ya waTZ
Kwa kiasi fulani alifanikiwa katika hilo. Atleast 65%.Matokeo ya mwisho, maamuzi ya mwisho ndio yamenifanya niandike hili bandiko, jina la E.L lilikatwa asubui saa11 hata jogoo hajaamka, hakuna aliyetegemea tena CC ya chama chake pendwa, kikiongozwa na best yake wa karibu kbs JK walikata jina bila huruma, macho makavuu, mekundu tena hata bila kupepesea jicho wala neno, hata top 5 hakuionja.
Nimeumia sana, wafuasi wameumia sana, watu wameumia sana media, wachambuzi, kila mtu butwaa.Wafuasi ma100 kwa ma100 wametumia nguvu nyingi kuishinikiza CC ya chama kurudisha jina la EL lakini wapi, tumefedheheka sana, tumejeruhika sana, tumesononeka pia. Kama mimi nimeumia hivi, na watu wengi wamesononeka vile, je yeye EL ����?
Tulitegemea atoe tamko (kali sana), atoe hisia na malalamiko yake juu ya uteuzi wa mgombea uraisi kupitia chama chake, na lastly atoe maamuzi magumu sana. Coz tayari kashapoteza vitu vingi -kilakitu, hana kingine cha kupoteza.Lakini cha kushangaza Lowasaa katulia, kanyamaza kimya, hajazungumza hata thumni ya neno, hajahoji kitu, hajachukua hatua yoyote (at first) yani kama hakijatokea kitu, imefika hatua hata watu wanamshinikiza aseme lolote.
Lakini kanyamaza tuli kimya.
Tunajifunza nini?
It's politics but we can turn it to real life.
Unaweza ukawekeza sana sana sana kwenye biashara yako, ukatumia muda, pesa, nguvu, yani ukatumia kilakitu, ukawa na expectations kubwa sana, watu pia wakawa na expectations kwako. At last biashara ikabuma, safari ya matumaini ikaishiwa mafuta, ukapoteza kilakitu, ukadhalilika asubui saa11, usiambulie hata top5. Be puee classic like Lowassa, usikurupuke, usitukane, usi, be patient, tulia, tuliza kichwa, dont take st*pid actions.
take time. Like EL.
Kwenye mapenzi vile vile.Unaweza Ukawekeza kilakitu,nguvu, pesa, resources, ukarisk vitu vingi, hisia kilakitu, atlast mpenzi wako akakuumiza, akakufedhehesha, ukakujeruhi moyoni asubui saa11, usiambulie ata top5.
BE PURE CLASSIC LIKE EL Be FLAWLESS, have CLASSIC STANDARDS
Kwenye elimu
Kwenye afya
Kwenye urafiki
Kwenye maisha
Kwenye imani
Kwenye uchumi
BE PURE, BE CLASSIC, BE ELEGANT, BE SMART, BE FLAWLESS USIKURUPUKE
IT'S CALLED HIGHLY PURE CLASS CLASSIC 1 STANDARDS, VIWANGO.
Niadmit wazi, heartdly hapa MMU kuwa nilikua m1 wa wafuasi wengi wa ndg. E. N. Lowassa. Mimi na wafuasi wengi tulikuwa na expectations kubwa sana juu ya EL na uraisi, media pia, upinzani pia, chama tawala pia, wachambuzi wa siasa, nahisi hata yeye pia, had big expectations.
Watu wengi kwenye jamii tulitegemea kuona CCM ikimsimamisha ndg. EL kupeperusha bendera yao ya uraisi, 2015. ndugu EL kajinoa kwa muda mrefu sana, tangu '95, kakubali kufanya kila awezalo, katumia nguvu nyingi, katumia pesa nyingi, katumia emotions nyingi, katumia mbinu nyingi, katumia muda mwingi, kakubali atukanywe, achafuliwe, adhalilishwe, lakini yeye alijitahidi kufanya kila awezalo ili jina lake liwe safi na akubalike katiki jamii ya waTZ
Kwa kiasi fulani alifanikiwa katika hilo. Atleast 65%.Matokeo ya mwisho, maamuzi ya mwisho ndio yamenifanya niandike hili bandiko, jina la E.L lilikatwa asubui saa11 hata jogoo hajaamka, hakuna aliyetegemea tena CC ya chama chake pendwa, kikiongozwa na best yake wa karibu kbs JK walikata jina bila huruma, macho makavuu, mekundu tena hata bila kupepesea jicho wala neno, hata top 5 hakuionja.
Nimeumia sana, wafuasi wameumia sana, watu wameumia sana media, wachambuzi, kila mtu butwaa.Wafuasi ma100 kwa ma100 wametumia nguvu nyingi kuishinikiza CC ya chama kurudisha jina la EL lakini wapi, tumefedheheka sana, tumejeruhika sana, tumesononeka pia. Kama mimi nimeumia hivi, na watu wengi wamesononeka vile, je yeye EL ����?
Tulitegemea atoe tamko (kali sana), atoe hisia na malalamiko yake juu ya uteuzi wa mgombea uraisi kupitia chama chake, na lastly atoe maamuzi magumu sana. Coz tayari kashapoteza vitu vingi -kilakitu, hana kingine cha kupoteza.Lakini cha kushangaza Lowasaa katulia, kanyamaza kimya, hajazungumza hata thumni ya neno, hajahoji kitu, hajachukua hatua yoyote (at first) yani kama hakijatokea kitu, imefika hatua hata watu wanamshinikiza aseme lolote.
Lakini kanyamaza tuli kimya.
Tunajifunza nini?
It's politics but we can turn it to real life.
Unaweza ukawekeza sana sana sana kwenye biashara yako, ukatumia muda, pesa, nguvu, yani ukatumia kilakitu, ukawa na expectations kubwa sana, watu pia wakawa na expectations kwako. At last biashara ikabuma, safari ya matumaini ikaishiwa mafuta, ukapoteza kilakitu, ukadhalilika asubui saa11, usiambulie hata top5. Be puee classic like Lowassa, usikurupuke, usitukane, usi, be patient, tulia, tuliza kichwa, dont take st*pid actions.
take time. Like EL.
Kwenye mapenzi vile vile.Unaweza Ukawekeza kilakitu,nguvu, pesa, resources, ukarisk vitu vingi, hisia kilakitu, atlast mpenzi wako akakuumiza, akakufedhehesha, ukakujeruhi moyoni asubui saa11, usiambulie ata top5.
BE PURE CLASSIC LIKE EL Be FLAWLESS, have CLASSIC STANDARDS
Kwenye elimu
Kwenye afya
Kwenye urafiki
Kwenye maisha
Kwenye imani
Kwenye uchumi
BE PURE, BE CLASSIC, BE ELEGANT, BE SMART, BE FLAWLESS USIKURUPUKE