Be classic, be flawless, have standards, usikurupuke

Be classic, be flawless, have standards, usikurupuke

Kumbe nawe mkuu ONTARIO ni mwenzetu ktk Lowassa?
Hakika tumeumia sana, sitokaa niusahau unafiki wa JK milele!
 
Ndo maana sizonje hawezi kukaa sehem lowasa alipo kaa anajua ule wimbo pendwa utaibwa kweli lowassa ni classic
 
True, be real,love yourself,stay strong to ur motive,be classy,live life,...mapenzi ambay sio real yanapoteza muda mwingi sana,if you invest in urself,hutashindwa kitu
 
Nimesoma mama. Kwakweli ni ujumbe murua japo hilo jina ndio limenivuruga.

Ya nini kuanza kulaani dunia nzima!! Hujui nini umeepushwa nacho,just say thank you and move on with positive mind. No regrets kwakweli.
Mungu anatuwazia mema always
 
Uko wapi Fanya hima niokoe,.
Uko wapi ee Mungu wangu,..I love that song,

Uko wapi eh Mungu wangu ,
Uko wapi njoo uniokoe x2
Mawimbi yanataka kuniangamiza,
Misukosuko yaniandama,
Dhoruba na majaribu havikomi kwangu,
Uko wapi fanya hima niokoe,x2
Uko wapi eh bwana ,
Uko wapi mbona ni kama umeniacha,
Usifiche uso wako eh bwana,
Usifiche uso nikuombapo rehema,
Mwili huu wa nyama,
Unachoka peke yangu sitaweza,x2

Nimegubikwa wimbi la huzuni na mawazo,
Amani kwangu ni kama ndoto,
Ole wangu nikifurahi siku moja,
siku sita nitalia wiki ipite,
Magumu yangu nikisimulia kwa ndugu zangu,
Waniambia utajijua na Mungu wako,
Nikielezea magumu yangu kwa wapendwa,
waniambia tumechoka kukufariji,
wakati mwingine natamani heri nife,
Kuliko kuishi ninyanyasike hivi x2

Uko wapi eh Mungu wa Eliya,
Uko wapi eh Mungu wa Ibrahim,
Uko wapi eh Mungu wa Isaka,
Elshadai fanya hima uniokoe,
Uko wapi eh bwana ,
Uko wapi mbona ni kama umeniacha,
Usifiche uso wako eh bwana,
Usifiche uso nikuombapo rehema,
Mwili huu wa nyama,
unachoka peke Yangu sitaweza,x2

Nina neno juu yako eh mpendwa,
Usilie kwa magumu uliyonayo,
Usitazame jaribu ulilonalo,
Inua macho msalabani umtazame Yesu,
Japo ndugu wakikutega na kukuacha,
Yesu atakukumbatia,majaribu ipo siku yatakoma,
utasahau shida zote ulizopata x2
 
Uko wapi eh Mungu wangu ,
Uko wapi njoo uniokoe x2
Mawimbi yanataka kuniangamiza,
Misukosuko yaniandama,
Dhoruba na majaribu havikomi kwangu,
Uko wapi fanya hima niokoe,x2
Uko wapi eh bwana ,
Uko wapi mbona ni kama umeniacha,
Usifiche uso wako eh bwana,
Usifiche uso nipone kwa rehema,
Mwili huu wa nyama,
Unachoka peke yangu sitaweza,x2

Nimegubikwa wimbi la huzuni na mawazo,
Amani kwangu ni kama ndoto,
Ole wangu nikifurahi siku moja,
siku sita nitalia wiki ipite,
Magumu yangu nikisimulia kwa ndugu zangu,
Waniambia utajijua na Mungu wako,
Nikielezea magumu yangu kwa wapendwa,
waniambia tumechoka kukufariji,
wakati mwingine natamani heri nife,
Kuliko kuishi ninyanyasike hivi x2

Uko wapi eh Mungu wa Eliya,
Uko wapi eh Mungu wa Ibrahim,
Uko wapi eh Mungu wa Isaka,
Elshadai fanya hima uniokoe,
Uko wapi eh bwana ,
Uko wapi mbona ni kama umeniacha,
Usifiche uso wako eh bwana,
Usifiche uso nipone kwa rehema,
Mwili huu wa nyama,
unachoka peke Yangu sitaweza,x2

Nina neno juu yako eh mpendwa,
Usilie kwa magumu uliyonayo,
Usitazame jaribu ulilonalo,
Inua macho msalabani umtazame Yesu,
Japo ndugu wakikutega na kukuacha,
Uesu atakukumbatia,majaribu ipo siku yatakoma,
utasahau shida zote ulizopata x2

On point napenda apo Mwili huu wa nyama,
unachoka peke Yangu sitaweza,x2 daaah we mkaliiii!!!
 
Back
Top Bottom