Be A Gentleman! At least Dress like one

UrbanGentleman

JF-Expert Member
Jun 19, 2016
2,585
1,883
Swala la kuchagua what type of outfit katika matukio flani, flani kwa vijana imekua shida sana kwa hasa ukizingatia tumetoka kwenye local family zisizojali sana haya mambo.

Hapa nitalenga zaidi kwenye mavazi, Niseme tu Gentleman anaandaliwa hatokei from nowhere na how gentleman dress haiitaji nguvu kujua he's the one, so leo nitawagusia kuhusu huyu Gentleman katika casual style,formal style na hair style.

Ni vyema kumsaidia mtoto kujua tofauti ya casual outfit na formal outfit pia kumfanya atambue gentleman's wear mapema ili itembee kwenye bloodlines mambo haya yasiwe mageni kwake. Mfano mimi nilifundishwa na mambo mengi na marehemu mzee wangu alikua akisema "to look a gentleman its not for CEO's or wealthiest people be a gentleman from within" huku akinifunga tai vizuri kabisa na kunielekeza namna ya kufunga tai.

Mtoto anaona baba anaonekanaje mtoto anaishi maisha aliondaliwa na wazazi
141a5f0e60ac913c4eb5e3445d7904d5.jpg
ee9344e5d4a6a4f6a7786e79c122f0b3.jpg
604c7cdfef324d78bc8978154ec145e2.jpg


In casual wear uwa tunamionekano yetu hatukurupuki tuu business casual wear and street casual wear
cac3e477c4a0c4ec79bacb0723c6ed95.jpg
9c5903625745fa25fa9483943f2f6ac5.jpg
9b7f19225de456d6f8d198c42ed20810.jpg
7f50d199e62bbe0390e3791fa254bd85.jpg
120ff9937940bf27d40d0f55088dbaef.jpg
f7b52fb34e7049cce3969555f62a6319.jpg
97799cf31897ba2d5cf30b23ddf3db0b.jpg


Sio hapo formal wear kwa gentleman ni muhimu sana as inaweka credible ya kujitambua na kujielewa zaidi katika jamii kujimini inakua 100%
d17b2a3052e3cd07b5163feb03300198.jpg
6b646d3cbfba32c71705909723e42e46.jpg
b6f98f37b5f82e3709c6c307e7b029fe.jpg
6f8148ddd46df0e2b65d2c3957d9c014.jpg
6cbaeab57a4964f022feafeeb720fba6.jpg
243e3d34fca16b72daab9108d39b4949.jpg
341ed6fd2d375c3e14f0b7881181c244.jpg


Gentleman hair cut huwa ni low cut mara nyingi sio kiduku.

Sasa tambua kua gentleman huandaliwa talkin of looks.
 
Mara nyingi ni kuonesha mkanda au kuepusha koti kukaa vibaya wanapokaa chini au kuepusha usumbufu wa kufungua na kufunga wanapokaa na kusimama au wakiwa wanadrive au ata kuka kwenye viti vya kawaida


I see, nilikuwa najiuliza kama kipo hapo kwa nini hamkifungi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom