BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

Miradi mingi ya serikali inakwama kwa sababu wanao ileta hiyo miradi wanakuwa na nia ya kiupigaji zaidi kuliko kuwainua wananchi kiuchumi.

Mf; kulikuwa na mradi wa kuwagawia wananchi wa vijijini mitungi ya gesi
Hivi unafikiri kipi bora kati ya kupunguza gharama za kujaza gesi au kuwagawia wananchi mitungi ya gesi bure ambayo baada ya gesi kwisha hawataweza kuijaza tena

Miradi kama Mkukuta, Mkurabita, tasaf, BBT, hiyo miradi imejaa upigaji mwingi.
Mtungi mdogo kujaza elfu 23, kununua mwanzo ukiwa imejaa ni elfu 55,ukipewa mtungi wa gas uliojaa ili ukiisha ujaze mwenyewe hujasaidiwa!?..na unadhani gas tunayotumia inatoka mtwara siyo kwamba serikali inaweza amua kupunguza tu!?..muwe mnafuatilia kwa undani mambo ya nchi yenu na kiuyachakata kifikra
 
Uzuri nimeiona taarifa hiyo hiyo ya habari.

Saa nyingine...No comment.

Bashe chapa Kazi.
 
Afadhali umedhihirisha utupu wa fuvu lako,kwa hiyo ulitaka fursa hizo za kilimo wapewe watu waliosoma vyuo vya kilimo na ufundi tu!?..unajua malengo ya BBT au walau tatizo la ajira tz!?..lipo kwa wasomi tu!?..watu wenye elimu ya chuo ni wangapi tz!?
Kwa hoja hizi za kijinga ndiyo maana BBT inakufa. Umeeelewa hoja unayoipinga ama umekurupuka. Isome tena hiyo comment.
 
Afadhali umedhihirisha utupu wa fuvu lako,kwa hiyo ulitaka fursa hizo za kilimo wapewe watu waliosoma vyuo vya kilimo na ufundi tu!?..unajua malengo ya BBT au walau tatizo la ajira tz!?..lipo kwa wasomi tu!?..watu wenye elimu ya chuo ni wangapi tz!?
Okay mimi sina akili na napinga utaratibu huu wa BBT wa kukusanya house boy kama wewe kwenda kumfundisha kilimo ndio apewe mitaji.

Wewe mwenye akili nitajie mafanikio ya BBT.

Yani uache wakulima, uache waliosoma kilimo miaka mitatu ila hawana mtaji. Ukusanye wanaobeti na hawajui lolote kuhusu kilimo uwafundishe kwa projector wiki ngapi ndio wawe na ufanisi?
 
Kwa hoja hizi za kijinga ndiyo maana BBT inakufa. Umeeelewa hoja unayoipinga ama umekurupuka. Isome tena hiyo comment.
Nisome upumbavu unaong'ang'ania kuwapa fursa za BBT wale tu waliosoma kilimo na ufundi!?..jifunze kwanza malengo ya BBT ni nini!?
 
Okay mimi sina akili na napinga utaratibu huu wa BBT wa kukusanya house boy kama wewe kwenda kumfundisha kilimo ndio apewe mitaji.

Wewe mwenye akili nitajie mafanikio ya BBT.

Yani uache wakulima, uache waliosoma kilimo miaka mitatu ila hawana mtaji. Ukusanye wanaobeti na hawajui lolote kuhusu kilimo uwafundishe kwa projector wiki ngapi ndio wawe na ufanisi?
Hivi unakijua hata kilimo!?..kulima mahindi unahitaji kupanda kwa space ya 25cm shimo Hadi shimo kwa mbegu moja na upana wa 75-90cm,kutegemeana na Hali ya rutba ya udongo,baada ya wiki unaweka dap kisoda kimoja katikati ya mashina kwa space ya 25cm,na 10cm toka mmea kwa 50cm,baada ya wiki tatu unaweka urea hivyohivyo,yalianza kunyonga ili kutoa mbelewele unaweka nusu kisoda,kila wiki pulizia dawa ya somi,...hii unahitaji mtu aliyesoma kilimo miaka mitatu afanye!?
 
Uvumilivu gani tena? Vijana wamefuga ng'ombe mpk wamekua lkn hakuna soko
Kutafuta soko zuri nayo ni sehemu ya shughuli yenyewe.
Hata hivyo, yawezekana ni hoja za kukosa uvumilivu, nyama, maziwa na mazao mengine ya ng'ombe yanauzika kila siku.
 
Projects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?

Kwamba Bashe haamini vyuo vya kilimo kama SUA na RITA vyote mpaka akakusanye wavaa pensi Dar awapeleke kwenye vituo mikoani? Bashe haamini vyuo vinavyosimamiwa na wizara ya elimu na ya kwake ya kilimo anaamini vijana aliookoteleza.

Yani siku wizara ya elimu ianzishe shule za sayansi mpya ianze kutafuta madalali wa vyumba ikawafundishe ufundi kisha ndio wawe walimu wakati wizara hiyohiyo inatoa graduates kibao wenye utaalamu huo.

Na wewe ukakaa ukisubiria matokeo chanya.
RITA(Registration Insolvency and Trusteeship Agency=LITA(Livestock Training Agency)
 
Hivi unakijua hata kilimo!?..kulima mahindi unahitaji kupanda kwa space ya 25cm shimo Hadi shimo kwa mbegu moja na upana wa 75-90cm,kutegemeana na Hali ya rutba ya udongo,baada ya wiki unaweka dap kisoda kimoja katikati ya mashina kwa space ya 25cm,na 10cm toka mmea kwa 50cm,baada ya wiki tatu unaweka urea hivyohivyo,yalianza kunyonga ili kutoa mbelewele unaweka nusu kisoda,kila wiki pulizia dawa ya somi,...hii unahitaji mtu aliyesoma kilimo miaka mitatu afanye!?
Kwahiyo Bashe na wizara yake ni wapumbavu kuweka kozi ya miaka mitatu kama kilimo ni kuchimba shimo 25cm?
Kama haihitaji aliyesoma kilimo kwanini walichukua machawa na wabeba mizigo kufanya training.

Kilimo watu wanaenda hadi Israel wewe unaleta habari za kuchimba shimo.
 
Kwahiyo Bashe na wizara yake ni wapumbavu kuweka kozi ya miaka mitatu kama kilimo ni kuchimba shimo 25cm?
Kama haihitaji aliyesoma kilimo kwanini walichukua machawa na wabeba mizigo kufanya training.

Kilimo watu wanaenda hadi Israel wewe unaleta habari za kuchimba shimo.
Wewe mpuuzi usiyejua kuchanganua mambo
 
Back
Top Bottom