Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,982
- 9,742
Magoli ya Simba na Yanga alinunua, tunasubiri na hawa ng'ombe wanunuliwe piaTusubiri rais atoe hela za kununulia hao ng'ombe
Magoli ya Simba na Yanga alinunua, tunasubiri na hawa ng'ombe wanunuliwe piaTusubiri rais atoe hela za kununulia hao ng'ombe
Utawala wa jiwe ulisema hata blender ni kiwanda. Kwahiyo hivyo viwanda 8000 (blender na cherehani) bado vipoKwani vile viwonder 8000 kila mkoa havipo tena?
Uvumilivu gani tena? Vijana wamefuga ng'ombe mpk wamekua lkn hakuna sokoVijana wengi siku hizi siyo wavumilivu,
Mtungi mdogo kujaza elfu 23, kununua mwanzo ukiwa imejaa ni elfu 55,ukipewa mtungi wa gas uliojaa ili ukiisha ujaze mwenyewe hujasaidiwa!?..na unadhani gas tunayotumia inatoka mtwara siyo kwamba serikali inaweza amua kupunguza tu!?..muwe mnafuatilia kwa undani mambo ya nchi yenu na kiuyachakata kifikraMiradi mingi ya serikali inakwama kwa sababu wanao ileta hiyo miradi wanakuwa na nia ya kiupigaji zaidi kuliko kuwainua wananchi kiuchumi.
Mf; kulikuwa na mradi wa kuwagawia wananchi wa vijijini mitungi ya gesi
Hivi unafikiri kipi bora kati ya kupunguza gharama za kujaza gesi au kuwagawia wananchi mitungi ya gesi bure ambayo baada ya gesi kwisha hawataweza kuijaza tena
Miradi kama Mkukuta, Mkurabita, tasaf, BBT, hiyo miradi imejaa upigaji mwingi.
Jiwe alikuwa mbumbumbu, yeye alidhani hata mswaki ni kiwanda, cherehani ni kiwanda na blender ni kiwanda.JIWE alituahidi viwanda kafa na ahadi yake.
Eti machawa, wadangaji na wacheza pool wakalime?? Hata mm nilishangaa.Projects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?
Kwa hoja hizi za kijinga ndiyo maana BBT inakufa. Umeeelewa hoja unayoipinga ama umekurupuka. Isome tena hiyo comment.Afadhali umedhihirisha utupu wa fuvu lako,kwa hiyo ulitaka fursa hizo za kilimo wapewe watu waliosoma vyuo vya kilimo na ufundi tu!?..unajua malengo ya BBT au walau tatizo la ajira tz!?..lipo kwa wasomi tu!?..watu wenye elimu ya chuo ni wangapi tz!?
Okay mimi sina akili na napinga utaratibu huu wa BBT wa kukusanya house boy kama wewe kwenda kumfundisha kilimo ndio apewe mitaji.Afadhali umedhihirisha utupu wa fuvu lako,kwa hiyo ulitaka fursa hizo za kilimo wapewe watu waliosoma vyuo vya kilimo na ufundi tu!?..unajua malengo ya BBT au walau tatizo la ajira tz!?..lipo kwa wasomi tu!?..watu wenye elimu ya chuo ni wangapi tz!?
Nisome upumbavu unaong'ang'ania kuwapa fursa za BBT wale tu waliosoma kilimo na ufundi!?..jifunze kwanza malengo ya BBT ni nini!?Kwa hoja hizi za kijinga ndiyo maana BBT inakufa. Umeeelewa hoja unayoipinga ama umekurupuka. Isome tena hiyo comment.
Malengo ya BBT ni wakubwa kukwapua hela tu.Nisome upumbavu unaong'ang'ania kuwapa fursa za BBT wale tu waliosoma kilimo na ufundi!?..jifunze kwanza malengo ya BBT ni nini!?
Hivi unakijua hata kilimo!?..kulima mahindi unahitaji kupanda kwa space ya 25cm shimo Hadi shimo kwa mbegu moja na upana wa 75-90cm,kutegemeana na Hali ya rutba ya udongo,baada ya wiki unaweka dap kisoda kimoja katikati ya mashina kwa space ya 25cm,na 10cm toka mmea kwa 50cm,baada ya wiki tatu unaweka urea hivyohivyo,yalianza kunyonga ili kutoa mbelewele unaweka nusu kisoda,kila wiki pulizia dawa ya somi,...hii unahitaji mtu aliyesoma kilimo miaka mitatu afanye!?Okay mimi sina akili na napinga utaratibu huu wa BBT wa kukusanya house boy kama wewe kwenda kumfundisha kilimo ndio apewe mitaji.
Wewe mwenye akili nitajie mafanikio ya BBT.
Yani uache wakulima, uache waliosoma kilimo miaka mitatu ila hawana mtaji. Ukusanye wanaobeti na hawajui lolote kuhusu kilimo uwafundishe kwa projector wiki ngapi ndio wawe na ufanisi?
Wakose masoko wakati Kenya wanalia njaa,tz wanalia Bei za nafaka zipo juu,we upo vizuri kichwani kweli!?..Rwanda na Burundi wanalishwa na tz,na DRC piaMalengo ya BBT ni wakubwa kukwapua hela tu.
Vijana watafuta na kufunga Kisha watakosa masoko.
Kutafuta soko zuri nayo ni sehemu ya shughuli yenyewe.Uvumilivu gani tena? Vijana wamefuga ng'ombe mpk wamekua lkn hakuna soko
RITA(Registration Insolvency and Trusteeship Agency=LITA(Livestock Training Agency)Projects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?
Kwamba Bashe haamini vyuo vya kilimo kama SUA na RITA vyote mpaka akakusanye wavaa pensi Dar awapeleke kwenye vituo mikoani? Bashe haamini vyuo vinavyosimamiwa na wizara ya elimu na ya kwake ya kilimo anaamini vijana aliookoteleza.
Yani siku wizara ya elimu ianzishe shule za sayansi mpya ianze kutafuta madalali wa vyumba ikawafundishe ufundi kisha ndio wawe walimu wakati wizara hiyohiyo inatoa graduates kibao wenye utaalamu huo.
Na wewe ukakaa ukisubiria matokeo chanya.
Kwahiyo Bashe na wizara yake ni wapumbavu kuweka kozi ya miaka mitatu kama kilimo ni kuchimba shimo 25cm?Hivi unakijua hata kilimo!?..kulima mahindi unahitaji kupanda kwa space ya 25cm shimo Hadi shimo kwa mbegu moja na upana wa 75-90cm,kutegemeana na Hali ya rutba ya udongo,baada ya wiki unaweka dap kisoda kimoja katikati ya mashina kwa space ya 25cm,na 10cm toka mmea kwa 50cm,baada ya wiki tatu unaweka urea hivyohivyo,yalianza kunyonga ili kutoa mbelewele unaweka nusu kisoda,kila wiki pulizia dawa ya somi,...hii unahitaji mtu aliyesoma kilimo miaka mitatu afanye!?
Wewe mpuuzi usiyejua kuchanganua mamboKwahiyo Bashe na wizara yake ni wapumbavu kuweka kozi ya miaka mitatu kama kilimo ni kuchimba shimo 25cm?
Kama haihitaji aliyesoma kilimo kwanini walichukua machawa na wabeba mizigo kufanya training.
Kilimo watu wanaenda hadi Israel wewe unaleta habari za kuchimba shimo.