Soko la ng'ombe lina shida gani au hawafugi ngombe wa kawaida?Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao...
Mtu anakwambia Ufuge ng' ombe wa kisasa ambaye mathalani atakugharimu laki saba kumtunza kuanzia anazaliwa hadi anakomaa kuuzwa.Viwanda ndiyo jawabu sahihi.
Kutegemea soko la mpaka upewe mashariti ya kukubali ushoga ndiyo wanunue kwa bei nzuri ni ujinga
Kwani vile viwonder 8000 kila mkoa havipo tena?Viwanda ndiyo jawabu sahihi.
Kutegemea soko la mpaka upewe mashariti ya kukubali ushoga ndiyo wanunue kwa bei nzuri ni ujinga
HahahaKwani vile viwonder 8000 kila mkoa havipo tena?
Miradi mingi ya serikali inakwama kwa sababu wanao ileta hiyo miradi wanakuwa na nia ya kiupigaji zaidi kuliko kuwainua wananchi kiuchumi.Una hamu project za serikali kukwamua watu wake zifeli,unapata faida gani!?..ng'ombe hakosi soko,labda ng'ombe wao wamenona Sana Bei kubwa
JIWE alituahidi viwanda kafa na ahadi yake.Viwanda ndiyo jawabu sahihi.
Kutegemea soko la mpaka upewe mashariti ya kukubali ushoga ndiyo wanunue kwa bei nzuri ni ujinga
Projects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?Una hamu project za serikali kukwamua watu wake zifeli,unapata faida gani!?..ng'ombe hakosi soko,labda ng'ombe wao wamenona Sana Bei kubwa
Wewe kabla ya kufa umeahidi niniJIWE alituahidi viwanda kafa na ahadi yake.
Serikali inayosubiri Rais atoe hela mfukoni kwake ndo hii inatufikisha hapa.Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao.
Hata bibi yangu anayefuga ng'ombe zake kule Katavi kilio chake ni hicho hicho?
Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.
View attachment 2786712
Source: ITV habari.
Afadhali umedhihirisha utupu wa fuvu lako,kwa hiyo ulitaka fursa hizo za kilimo wapewe watu waliosoma vyuo vya kilimo na ufundi tu!?..unajua malengo ya BBT au walau tatizo la ajira tz!?..lipo kwa wasomi tu!?..watu wenye elimu ya chuo ni wangapi tz!?Projects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?
Kwamba Bashe haamini vyuo vya kilimo kama SUA na RITA vyote mpaka akakusanye wavaa pensi Dar awapeleke kwenye vituo mikoani? Bashe haamini vyuo vinavyosimamiwa na wizara ya elimu na ya kwake ya kilimo anaamini vijana aliookoteleza.
Yani siku wizara ya elimu ianzishe shule za sayansi mpya ianze kutafuta madalali wa vyumba ikawafundishe ufundi kisha ndio wawe walimu wakati wizara hiyohiyo inatoa graduates kibao wenye utaalamu huo.
Na wewe ukakaa ukisubiria matokeo chanya.
RITAProjects za serikali za kukusanya wapiga picha, ma DJ, wacheza sarakasi na madalali wa nguo kwenda kuwapa "training" ili walime?
Kwamba Bashe haamini vyuo vya kilimo kama SUA na RITA vyote mpaka akakusanye wavaa pensi Dar awapeleke kwenye vituo mikoani? Bashe haamini vyuo vinavyosimamiwa na wizara ya elimu na ya kwake ya kilimo anaamini vijana aliookoteleza.
Yani siku wizara ya elimu ianzishe shule za sayansi mpya ianze kutafuta madalali wa vyumba ikawafundishe ufundi kisha ndio wawe walimu wakati wizara hiyohiyo inatoa graduates kibao wenye utaalamu huo.
Na wewe ukakaa ukisubiria matokeo chanya.
Unaenda sokoni unakuta wateja wanataka kumnunua kwa laki 5 huyo ng'ombe aliyekugharimu laki 7 kumfuga . Nchi hii aliyeturoga naye karogwa.Mtu anakwambia Ufuge ng' ombe wa kisasa ambaye mathalani atakugharimu laki saba kumtunza kuanzia anazaliwa hadi anakomaa kuuzwa.
Ukienda sokoni unakuta ng' ombe anauzwa laki saba hiyo hiyo.
Vilimo vya makaratasi viko namna hii.