BBC Wachemsha

BBC Wachemsha

Hukupaswa kufurahia makosa, kila mtu anakosea kiufundi ama kiutendaji

unajua kila siku tumaumia kuona watangazaji wetu local wakivurunda, na huna jinsi ya kuwarekebisha, sasa ikiwa BBC nao..... si tunajitoa machungu mkuu?
 
Tatizo lao wamekusanya wajiitao waandishi kutoka Tanzania. Hawajiandai na hawasomi. Ni vyema waandishi wa Tanzania baada ya hivyo vidigrii na vidiploma vyao, waendelee kujisomea, wapende kusoma na sikudai "wamesoma". Mwandishi mzuri ni yule "anayesoma" siyo "aliyesoma!"

Acha dharau ww Kenge......... Hiyo habar niliyoelezea hapo juu ni wakenya ndo walikuwa studio..... Hiv Habari inachukua karibia dk 6 bado tu hujajua kwamba hii Habari ime expire? ... Alafu studio walikuwa zaidi ya wa3 ina maana wote Hao walishndwa kugundua? kama si uzembe ni nn?
 
Wana promote ushoga hawa jamaa haina mfano yan
Haipiti wiki bila kuweka story za mashoga kwenye page zao
 
Ni kwel kabisa unachosema mkuu...... Zimepita kama wiki mbili kwenye dira ya jion wakawa wanatangaza Habari za michezo....... Kilichonishangaza walikuwa wanatoa habar za mwaka jana za uefa champions League huku wanatoa na matokeo yake na kueleza mechi zitakazochezwa kesho yake wakitaja mechi za robo fainali. Hawakundua Hilo mpaka kipindi kinaisha..... Ila nilichokuja kugundua ni kwamba jamaa siku hiz hawako serious kabisa.

Hata mimi niliisikia hiyohabari na sikuelewa kama mimi ndiye niliyeshindwa kuielewa habari au wao ndiyo waliokosea.
 
Sasa kinachofurahisha nini hapo?? Hutakiwi kufurahi kwa yeyote anayekosea hata watangazaji wetu wa ndani hawapaswi kukoseakosea.

mkuu unasikilizaga local radios? wanavurunda hadi utatamani kuvunja ka-mkulima kako, inapokuja hata BBC wanakosea, we comment as global issue, watangazaji wa sasa .......
 
Hawa BBC walipohamishia tu office zao Dar wameshuka sana kiutendaji. Ile credibility yao yote. imeyeyuka kabisaaaa. Hadi aibu. Twendeni na DW AU RFI SWAHILI
 
Tatizo lao wamekusanya wajiitao waandishi kutoka Tanzania. Hawajiandai na hawasomi. Ni vyema waandishi wa Tanzania baada ya hivyo vidigrii na vidiploma vyao, waendelee kujisomea, wapende kusoma na sikudai "wamesoma". Mwandishi mzuri ni yule "anayesoma" siyo "aliyesoma!"

sidhani, nadhani ni tatizo la generation.
 
Nimefurahi kusikia BBC wakiripoti uongo!
Kwa kawaida ukisikiliza radio za Tanzania hukosi kupata vituko kwa watangazaji kuvurunda kwa umbumbumbu au hata kutangaza mambo yasiyo halisi.
Leo asubuhi BBC katika matangazo yao ya Amka na BBC walitangaza kuwa mabaki yameonekana ya ndege inayodhaniwa ni ya Malaysia iliyopotea miezi sita iliyopita. Nilisubiri wasahihishe na kuomba radhi lakini walirudia kutamka hivyo hivyo mara tatu; na hadi kipindi cha amka na BBC kinamalizika hawakurekebisha.
Ukweli ni kuwa ndege hiyo ilipotea tangu mwaka jana mwezi Machi na siyo miezi 6 iliyopita.
Naona tatizo ni kizazi hiki vijana hawako makini na yanayotokea duniani.


Yaani mimi nilidhani wamekosea kwamba Magufuli atakuwa raisi..!!! kama ni hilo acha tu
 
Wako sahihi ila nyie inaoneka hamfahamu kiswahili wamesema inayodhaniwa inamaana hawana uwakika inaweza kuwa ndio au sio yani ni kitu cha kusadikika jifunzeni lugha nyie msikurupuke
 
Tatizo Amka na BBC huwa inatangazwa ama kutoka studio za Nairobi au Dar, hivyo once again ni makosa ya waandishi wetu wa nyumbani ambayo hata walioko London hawajui
 
Wako sahihi ila nyie inaoneka hamfahamu kiswahili wamesema inayodhaniwa inamaana hawana uwakika inaweza kuwa ndio au sio yani ni kitu cha kusadikika jifunzeni lugha nyie msikurupuke

Ohoooo!!!!!!! tunaongelea muda, soma BOLDS, lini ilipotea? sio suala la debris. UMEKURUPUKA WEWE!
si nimekunongoneza eeh?

hayahaya ndiyo tunayoyaonglea!
 
Nimefurahi kusikia BBC wakiripoti uongo!
Kwa kawaida ukisikiliza radio za Tanzania hukosi kupata vituko kwa watangazaji kuvurunda kwa umbumbumbu au hata kutangaza mambo yasiyo halisi.
Leo asubuhi BBC katika matangazo yao ya Amka na BBC walitangaza kuwa mabaki yameonekana ya ndege inayodhaniwa ni ya Malaysia iliyopotea miezi sita iliyopita. Nilisubiri wasahihishe na kuomba radhi lakini walirudia kutamka hivyo hivyo mara tatu; na hadi kipindi cha amka na BBC kinamalizika hawakurekebisha.
Ukweli ni kuwa ndege hiyo ilipotea tangu mwaka jana mwezi Machi na siyo miezi 6 iliyopita.
Naona tatizo ni kizazi hiki vijana hawako makini na yanayotokea duniani.
BBC ni wazushi sana ,Hata watu wanaowaalika kutoa commets kwenye habari zao -wanakuwa BIAS sana. Tukio la EL kuondoka CCM walimwalika kada wa CCM DR. B. Banna -Unatarajia atazungumza nini! kama si ilani ya CCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom