MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 169
Nimefurahi kusikia BBC wakiripoti uongo!
Kwa kawaida ukisikiliza radio za Tanzania hukosi kupata vituko kwa watangazaji kuvurunda kwa umbumbumbu au hata kutangaza mambo yasiyo halisi.
Leo asubuhi BBC katika matangazo yao ya Amka na BBC walitangaza kuwa mabaki yameonekana ya ndege inayodhaniwa ni ya Malaysia iliyopotea miezi sita iliyopita. Nilisubiri wasahihishe na kuomba radhi lakini walirudia kutamka hivyo hivyo mara tatu; na hadi kipindi cha amka na BBC kinamalizika hawakurekebisha.
Ukweli ni kuwa ndege hiyo ilipotea tangu mwaka jana mwezi Machi na siyo miezi 6 iliyopita.
Naona tatizo ni kizazi hiki vijana hawako makini na yanayotokea duniani.
Kwa kawaida ukisikiliza radio za Tanzania hukosi kupata vituko kwa watangazaji kuvurunda kwa umbumbumbu au hata kutangaza mambo yasiyo halisi.
Leo asubuhi BBC katika matangazo yao ya Amka na BBC walitangaza kuwa mabaki yameonekana ya ndege inayodhaniwa ni ya Malaysia iliyopotea miezi sita iliyopita. Nilisubiri wasahihishe na kuomba radhi lakini walirudia kutamka hivyo hivyo mara tatu; na hadi kipindi cha amka na BBC kinamalizika hawakurekebisha.
Ukweli ni kuwa ndege hiyo ilipotea tangu mwaka jana mwezi Machi na siyo miezi 6 iliyopita.
Naona tatizo ni kizazi hiki vijana hawako makini na yanayotokea duniani.