Last edited by a moderator:
Fredrick Sanga upo sahihi mkuu, hili serikali la CCM ka kuchoma moto tu
Viongozi na biashara 'MSHENZI'
Reli zote zinzhujumiwa na vigogo wenye biashara za mataki, Kama TISS ingekuwa kwa maslahi ya taifa wangemkabidhi tu report mwakyembe. Kwanza sio siri. Huwezi ukawa kiongozi mkubwa, unamiliki malori, halafu ukaitakia mema Reli na treni. Kwa kweli kama kuna kiongozi serikalini ambaye anamiliki malori, hatakiwi kabisa kuwa Raisi, waziri na Katibu wa wizara zinazo husi secta hiyo. Na kwa mfanyakazi wa kawaida anatakiwa kusema maslahi yake katika secta hiyo. Unafiki wa serikali yetu na familia zao ndio unaaotufikisha hapo. Mfumo wetu wa usalama wa taifa una udhaifu mkubwa sana. Hizi siri wanatakiwa wawape mawaziri, wabunge na magazeti yachape tu. Tujue maadui zetu. Taifa kwanza, mimi baadaye. Hata Takakuru hovyo kabisa, sijui wanafanya nini. Mpaka TAZARA inayumba, Mungu akubariki na akulinde Mwakyembe, unacheza na watu wabaya. Na kikulacho!
Ukinichukia nichukie, sifi.
Hii nchi inaitaji kiongozi dictator na siyependa ujinga kama Kigame w2a ruanda (natamani Sokoine angekuwepo) au mtu anayependa sheria zifuatwe bila kupindwa kwa muda wa miaka kumi tu ndio mambo yatabadilika. Lakini pia sisi wananchi tunapaswa kujua kuwa tuna nguvu kuliko serikali (nguvu ya umma ni kubwa sana) so tukiamua kweli na kwa dhati tunaweza kujikwamua. Lakini pia kauli yako @ Fredrick Sanga nimeipenda pale uliposema Taifa kwanza mimi baadae huo ndio uzalendo. China isingefika hapo ilipofika kwa muda mfupi kama wangeweka maslahi mbele.
Naomba kuwasilisha.
Magufuri, Dr Silaa na Mwakyembe, zaidi ya hao hakuna mwingine aliyeonyesha uzalendo na ushupavu na uthubutu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Kwa kweli ukiongea na wafanyakazi wa TAZARA wanaojua hujuma zinazoendelea, inatisha. Mwakyembe usijali mtu yeyote, fanya kazi yako. Wakikuzingua, jitoe.
Mwakyembe hawezi kujitoa ccm kwasababu he is one of them na ndio maana alificha ukweli juu ya sakata la RICHMOND!! All in all watu wanaoweza kumfanya akatoka ccm ni watu wa Kyela ambao historia inadhihilisha kuwa ni watu jasiri wasiomuogopa mtu na hao tu ndio watakaompa ultimatum ya kuchagua kuwa mbunge wao lakini sio kwa tiketi ya ccm au asepe na wampe MTANZANIA!!