Nashangaa sisi watz tuna matatizo sana, eti tusifiwe hata kama utendaji wetu ni mbovu kabisa ukilinganisha na wengine.
Hatupendi kukosolewa tunajiona tuko sahihi.
Ma CCM utawajua tu, sasa kwani ni uongo? mbona huwa mnapenda kuficha maovu? kuna haja gani ya kujisifia kuwa jana umekula pilau kumbe umelalia viazi? ni ujinga tu! mtoa post bado hajaelimika! nasikitika miaka 50 ya uhuru watanzania walio wengi wameendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu akiwemo mtoa post...
bbc wanasema ukweli mtupu kenya wako kikazi wanaleta.treni.ya umeme gogo la mwakyembe limekufa mazima.saraf ya tz imeporomoka ya kenya iko stable.budget ya kenya ni independent ya bongo dependent unataka wasemaje?rais wa kenya anafanya kazi rais wa tz anasafiri(utalii)na kujimwaga na wasanii
Hivi BBC wanachosema ni uongo? Si kweli kwamba shilingi inaporomoka kila siku? Tanapaswa kuchagua UKAWA ili tuiinue shilingi yetu. Tuache ujinga, waache BBC waseme ukweli.Wenzetu Kenya wapo kwenye uchumi wa kati wakati sisi hata elimu haieleweki kama iko katika kiwango cha kimataifa au cha kitaifa.
Nashangaa sisi watz tuna matatizo sana, eti tusifiwe hata kama utendaji wetu ni mbovu kabisa ukilinganisha na wengine.
Hatupendi kukosolewa tunajiona tuko sahihi.
acha uvivu wa kufikiri....
BBC Swahili inatangaza kwa ajili ya africa mashariki na maziwa makuu ambako kiswahili kinaongewa zaidi, ulitaka watoe mifano ya Egypt au Morocco kwa waarabu...
besides...lengo lilikuwa ni kuonyesha namna gani kitendo cha wachina kushusha thamani ya yuan kitaahiri uchumi wa nchi zetu hizi na kuzidi kuporomosha thamani ya pesa yetu ya madafu.
si kila kitu kinahitaji politicky...mambo mengine ni ya kitaalamu zaidi, google uelewe impact ya currency devaluationa na hasa kama nchi yenye kufanya hivyo inashika nafasi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani na sisi tunahemea kila kitu kutoka uchina hata vijiti vya kuchokonelea meno.
wanasema ukweli kabisa
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Binafsi sina haja ya kuelimishwa na wewe coz najua hujui kitu unakurupuka tu! Nisingekujibu kabisa kwa sababu nimekugundua ni kopo tupu. Ila nimekujibu kutokana na sentensi yako ya kwanza tu, ambayo inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Mimi sio saizi yako--period!
Mkuu kubali tu kuwa maada uliyo ianzisha hukujua ni pana kiasi gani.Binafsi sina haja ya kuelimishwa na wewe coz najua hujui kitu unakurupuka tu! Nisingekujibu kabisa kwa sababu nimekugundua ni kopo tupu. Ila nimekujibu kutokana na sentensi yako ya kwanza tu, ambayo inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Mimi sio saizi yako--period!
Asante k-boko.hata mm wananikera sana.naona kuna upungufu bbc, wako biased sana kwa sababu katika matangazo yao ya ukanda wa maziwa makuu, kiasi kikubwa ni habari za kenya na ni kila siku.hata ukija kwenye coverage ya uchaguzi wetu ni kama hakunakinachoripotiwa.labda kwa sababu watangazaji wao wengi ni wakenya!
Kwa sasa deutsche welle wana coverage nzuri ya habari za maziwa makuu na africa lkn sio bbc swahili.
May b kuna haja ya kuna wa watangazaji wengi zaidi watanzania kwenye vyombo hivi vya kimataifa la sivyo tutapotezwa!
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Hakika wewe ni mjinga kweli yaani unataka watoe mfano gani mzuri Kwa Tanzania. Yaani kuna mijitu sijui ina akili za kuku, yaani mimi hupata shida kuelewa posts za kijinga km hii. Wewe zero kichwani kabisa.
Ukilalamika bbc kwa kukueleza ukweli ni kujidsnganya Leo tsh sh ndio inathaman ndogo hata Burundi wasio ns kitu hela yao iko juu ni Uganda tu tumewaxidi pekee na muda si mrefu itakuwa juu