qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
BBC wametanagza kuanza kuyrusha matangazo yao ya tv ya dira ya dunia hasa ya kiswahili lakini kituko ni kuwa hawa jamaa hawana frequency zozote bali wanatumia star tv,wakati star tv kupatikana kwenye hewa hasa walio na dish ni issue.hivi bbc wanashindwa kulipia freqency zao mpaka wapange