Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Kwa hiyo wewe kuwepo hapa duniani ni matusi?Ukishaona mtu anakimbilia matusi ujue ameshaona aibu yake anajaribu kulinda hadhi yake.
Mimi sina hadhi ya kulinda, acha kuzusha.
Kwa hiyo wewe kuwepo hapa duniani ni matusi?Ukishaona mtu anakimbilia matusi ujue ameshaona aibu yake anajaribu kulinda hadhi yake.
Laana ni dhana isiyo na uhalisia nje ya saikolojia ya kutabiri kilichokwishapita.Duh...hizi ni laana
Soma mtiririko wa post kwanza.Ingia bbc swahili utakuta hyo habar ya kukosa habar... Au facebook bbc swahili utakutana na link
1930 ulikuwa umeshazaliwa? Na ulikuwa na radio. Soma habari vizuri.Labda BBC ya maboksi. Nasikiliza BBC World Service karibu kila siku, sijasikia kitu kama hicho.
BBC wako dunia nzima, watakosaje habari wakati kila siku kuna uchaguzi sehemu,kuna watu wanakufa, kuna tishiola vita na vita etc?
Haya ndio matusi kiongozi wangu.Hata Baba yako alimkurupukia Mama yako.
Wewe ndiye nikwambie soma thread vizuri hapo juu.Fuatilia mtiririkowa majibizano.1930 ulikuwa umeshazaliwa? Na ulikuwa na radio. Soma habari vizuri.
Ndiyo nyie hata biology mtaita matusi kwa unadhifu uliojaa ujinga.Haya ndio matusi kiongozi wangu.
Acha kukurupuka. Soma vizuri hiyo habari!!Labda BBC ya maboksi. Nasikiliza BBC World Service karibu kila siku, sijasikia kitu kama hicho.
BBC wako dunia nzima, watakosaje habari wakati kila siku kuna uchaguzi sehemu,kuna watu wanakufa, kuna tishiola vita na vita etc?
Rudia kusoma tena mkuuLabda BBC ya maboksi. Nasikiliza BBC World Service karibu kila siku, sijasikia kitu kama hicho.
BBC wako dunia nzima, watakosaje habari wakati kila siku kuna uchaguzi sehemu,kuna watu wanakufa, kuna tishiola vita na vita etc?
Umekurupuka zaidi wewe ambaye hujafuatiamtiririko wa majibizano.Acha kukurupuka. Soma vizuri hiyo habari!!
Rudia wewe kusoma mtiririko.Rudia kusoma tena mkuu
Mkuu, hiyo ilikuwa ni mpaka 1930Labda BBC ya maboksi. Nasikiliza BBC World Service karibu kila siku, sijasikia kitu kama hicho.
BBC wako dunia nzima, watakosaje habari wakati kila siku kuna uchaguzi sehemu,kuna watu wanakufa, kuna tishiola vita na vita etc?
usitokwe na povu sanaHii ni chai
tena iliyozidishwa tangawizitena yamoto
Wewe hata ukiona umande wa asubuhi unaweza kuita povu, tushapita huko kote zamani. Soma mtiririko hapo juu.Mkuu, hiyo ilikuwa ni mpaka 1930![]()
![]()
usitokwe na povu sana
Tatizo unafikiri tu, hujahakikisha.nafikiri we ni mmoja kati ya watu wanaosoma kichwa cha habari tu! pole sana
Hujasoma thread ilivyoenda, wewe umekurupuka zaidi. Umedandia treni kwa mbele wakati watu tushashuka vituo kadhaa kabla.kufikiri wala sio tatizo hivyo ndivyo binadamu tulivyo ila kwa mkurupuko wako sasa.... dadeki
Mbishi sana Al-Watan:Wewe ndiye nikwambie soma thread vizuri hapo juu.Fuatilia mtiririkowa majibizano.