Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,929
- 6,030
Hayo waliayataka wagaza wenyewe, acha wanywee kikombe walichokiandaa.Mtangazaji wa BBC idhaa ya kiarabu alivyokuwa akijaribu kuuficha ukweli kwa ya nayo endelea huko Gaza
Anaficha ukweli kuhusu Njaa ya kutengeneza huko Gaza kwa kuonyesha video za watoto wakigombania chakula wakati afya zao ni njema kabisa.
Hivi Afghanistan (Taleban)ivamie Urusi iuwe watu 1200 Kwa masaa, nini kitatokea? SITAKI HATA KU ASSUME RUSSIA ATAFANYA NINIInabidi vita iendelee
labda kusudi lao badoKwa wajuvi wa mambo kile kilichotokea October 7 je hamas walikuwa wamejiandaa kwa vita na walitaka hii vita au? Maana navyojua mimi walirusha rocket zaidi ya elfu 5, wakachukua mashine ( heavy duty) bulldozer etc kubomoa uzio na kuvamia Israel....hamas hawakujua that was an act of war?
Kwa nn watu wanaomba vita isimame wakati hamas wako vitani kwa vita waliyoitaka na walijiandaa ndo maana bado wamewashikilia mateka
Ipo kazi! Allah wao ana kazi sanalabda kusudi lao bado
halijatimia