R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
akihojiwa na mtangazaji wa bbc katika Dira ya Dunia salim kikeke amesema ametumiwa meseji na mtu asiyemfahamu kuwa watamteka na kumshikilia mpaka serikali itakapo muachia sheikh farid Hadd source Dira ya Dunia. BBC kiswahili. star tv.
Taja number , jina na picha tutapata maana simu zote ziko registered; isiwe propaganda